Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga

Yaliyojiri kesi ya Halima Mdee na wenzake 18, Peter Kibatala anamkaanga Hawa Subira Mwaifunga

"Miongoni mwa wanachama hao wa CCM yumo anayeitwa ALLY BANANGA kutoka Arusha, ambaye bado haijajulikana sababu hasa za yeye kukurupuka kutoka Arusha hadi Dar kwa mambo yasiyomhusu."

Erythrocyte !
Kwa taarifa yako ni kwamba katika hao mnaowaita wasio na chama.Yumo mkewe na Ally Bananga pia.
Ila wewe kwa sababu ya kutoijua chadema kwa undani wake ndio maana unamshangaa Bananga kuwepo hapo!
 
Wenzetu Kenya kesi ya Uchaguzi imechukua siku chache sisi hii kesi inaenda mpaka uchaguzi ujao haijaisha maana yake nini sasa...
 
Back
Top Bottom