Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
The case is over. Let Freeman free!!!Tupo pamoja ndugu, kila la kheri katika kutuhabarisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The case is over. Let Freeman free!!!Tupo pamoja ndugu, kila la kheri katika kutuhabarisha
... kazi kweli kweli! Shahidi muhimu kama huyu hajaona popote viashiria vya ugaidi; sasa mmefungua kesi ya nini? Nadhani bado tuko kwenye evolution kuelekea kuwa binadamu!...
Kibatala: nitajie viashiria vitatu (vya ugaidi)
Shahidi: Kuhusu Kula Njama, State of Mind....
CCM ni watu wabaya saana ndugu; kumtesa mbowe hivi kisa KATIBA MPYA.Kusema ukweli hakuna haki duniani. Watu wanasota rumande kwa kosa la kula njama, na njama zenyewe hazioneshewi Kila siku ni yaleyale. Kama Jaji atatumia confession kuwatia hatiani kina Mbowe basi atakuwa ametenda kosa la Maisha.
Hamna kesi humo ndugu, tunachoshana tu..michongo michongesho. Shahdi wa leo kachoka kaamua kusema UKWELIimeisha kwa leo tukutane tarehe 26
Nakuonya toka mwanzo- U S I C H A K A C H U E ukifanya tutajua pia ujue hutakuwa na uwezo wa kufuta atakayoandika Jaji so uwe mstaarabu
Hapa wa kuangalia ni mhumili wa mahakama hasa Jaji mkuu, Maza yeye kasha wauzia kesi, huwezi kimlaumi tena kwasabb kila muhimili hujitegemeaShahidi wa leo ndiye kawasafisha kabisa watuhumiwa. Kwa kweli isingekuwa kuna maagizo ya mtawala kuwa Mbowe lazima afungwe jela hii kesi ingeshaondolewa mahakamani,lakini kwa vile Maza furaha yake ni kumfunga Mbowe basi vibaraka wake lazima watekeleze hata kwa gharama ya kujidhalilisha na kuzidhalilisha taaluma zao.
.... ndio maana maajenti kumwomba Mbowe aombe msamaha wanaongezeka kila siku kumfichia aibu aliyefungua kesi. Tatizo Mwamba kakaza kinoma! Mzee Juma Duni Haji: Wanaotaka Mbowe aendelee kusota Mahabusu wako UlayaShahidi wa leo ndiye kawasafisha kabisa watuhumiwa. Kwa kweli isingekuwa kuna maagizo ya mtawala kuwa Mbowe lazima afungwe jela hii kesi ingeshaondolewa mahakamani,lakini kwa vile Maza furaha yake ni kumfunga Mbowe basi vibaraka wake lazima watekeleze hata kwa gharama ya kujidhalilisha na kuzidhalilisha taaluma zao.
Shahidi yupo jijini Dar tangu J2, sema kila akimezeshwa desa anatema halikai mukichwa...... ndo kesho anaendelea na kumeza madesa! uongo wa kupambana na kina Kibatala ni kazi Ngumu mno, najua mashahidi washashtuana ila watafanyeje ikiwa maboss ndo washapika ngoma na imetoka mbichi, kutwa kujikanyaga kama migambo!!!Wakili wa serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji huyo ndiye shahidi tuliyekuwa naye kwa leo, Hivyo tunaomba hairisho la kesi hii mpaka tarehe 26 January mheshimiwa Jaji Kwani shahidi ambaye tulikuwa tumempa taarifa, tulimtegemea awe amefika leo ili aweze kuendelea kesho, Ametupa taarifa mchana huu kuwa amepata dharula.. Hivyo hajaweza kusafiri leo, atasafiri kesho Kuja Dar es Salaam.