Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi - 27/09/2021

Aibu kubwa Polisiccm wamewaonea sana hao walinzi wa mbowe, endapo watashinda kesi wafungue kesi ya kudai fidia kwa hao Polisiccm akina mahita walioshiriki vitendo vya kishetani kuwapiga kuwatesa kwa kiwango cha Kinyama
 
Kwann serikali haitaki wananchi tupate mfululizo wa hii kesi wanaogopa nn?
Sasa siri imevuja kuwa walipigwa sana kulazimishwa wakili uongo wamsingizie mbowe huku wakiwabambikia dawa za kulevya ni Aibu kubwa kupata kutokea
 
Bado najiuliza serikali wanafaidika vipi na hii kesi?
Wanatafuta kuficha Aibu ya madudu kwenye idara ya upelelezi lakini wamechelewa kwani tayari siri nyingi zimevuja mitaani mpigie sele 0715132277 au 0787132277 atakupa picha yote
 
Maelezo hutoka mdomoni mwa mtuhumiwa lakini Mwandishi ni Polisiccm wakati wa kusaini si wanamfungua kidogo kisha anafungwa tena pingu ni mateso makubwa kwa watu ambao hawana hatia yeyote, kitendo cha kupigwa kisha utoe Maelezo ni kinyume cha haki za binadamu na pia ni kinyume cha Sheria na katiba ya Tanzania
 
Hao tayari walikuwa wapo nje ya jwtz kwa sababu mbalimbali hawakuwa watumishi wa jwtz mpaka kipindi uonevu wa kuwabambikia kesi unaanza, isipokuwa huyo mmoja LT urio yeye bado alikuwa bado ni Mtumishi huku akituhumiwa kufanya connection ya hao Asikari kupelekwa kwa mbowe, kwa kifupi hao walinzi wa mbowe siyo magaidi bali wamebambikiwa kesi kwa lengo la kumdhoofisha mbowe na chadema kwa ujumla mpigie sele 0787132277 au 0715132277 akupe full story
 
Hiki kituo ni kwa kazi maalum !! kimya kimya wanaume wanalia aisee !!
Mbinu za kumhoji mtu kwa kumpiga kumtesa ni Mbinu za kijinga sana kwani hupelekea mtu kusema uongo ili apate kuepuka mateso, huo ujinga umedhihilika mahakamani sasa
 
Kwahiyo kwa maelezo ya shahidi namba mbili na mtuhumiwa namba tatu ni kuwa polisi wamemtupa/wamemuua Mosses Lijenje au?
Hapo ndipo kuna utata mkubwa na pia yasemekana Lt Urio ameteswa kwa uonevu kisa kuwa na undugu na mbowe na kusaidia kumpatia walinzi ambao walikuwa watumishi wa jwtz awali kabla ya kuachishwa kazi
 
God have mercy!

Haya yanatokea Tanzania? Nchi yenye "amani" kama hii?

Tumefikafikaje hadi kwenye hali kama hii?
Huo unyanyasaji kuwabambikia kesi kuteswa lazima walipwe fidia
 
Jwtz wasikubali huu ujinga wa ziro na vijana wake we need to hear something from mabeyos boys vs polissm.
 
Kwa mjibu wa watuhumiwa ni kwamba Polisiccm wakiwabambikia kesi ya ugaidi na pia wamewabambikia dawa za kulevya ni uonevu ulioje,kitendo cha kuwapiga kuwatesa kisha kuwalazimisha wakili vya Polisiccm ni uonevu ni kinyume cha Sheria za Nchi na kinyume cha haki za binadamu,endapo haki itatendeka wakaenda kushinda kesi, ni muhimu kuwafungulia kesi wale Polisiccm wote walioshiriki vitendo vya kuwapiga kuwatesa kuwachulia pesa zao, huku jitihada zingine za kuwasomea Albadiri zikiendelea ili iwe somo kwa Polisiccm wote wanaoshiriki vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu kwa wapinzani Tanzania
 
Jwtz wasikubali huu ujinga wa ziro na vijana wake we need to hear something from mabeyos boys vs polissm.
Hawakuwa watumishi wa jwtz kipindi wanaenda kwa mbowe tayari walikwisha acha kazi isipokuwa yule mmoja Lt urio ambaye ni ndugu yake mbowe alikuwa bado ni Mtumishi wa jwtz lakini hukuwa Moshi Eneo la tukio ametuhumiwa kufanya connection ya kazi kwa hao Asikari wengine
 
Mkuki kwa nguruwe babaako angepewa mateso kama haya akiwa uchi wa nyama na kupigwa marungu kwenye makalio nyayo na kuchomwa kwa bisi bisi makalioni usingeandika ujinga kama huu.
Sheria Duniani kote hairuhusu kumpiga mtu kumtesa mtu kisha umwandikishe Maelezo, ukifanya hivyo hayo yanakuwa ni Maelezo batili, mbinu za kuwapiga kuwatesa watu ambao siyo magaidi ni uonevu unyanyasaji wa kishetani ambao hauna Tija kwa Tanzania, ni wakati wa kuondokana na huo ujinga Taifa lijikite kuleta maendeleo umoja wa kitaifa
 
Reactions: BAK
NINI KILIKUWA KINAENDELEA JESHINI?
Je ndani ya jeshi kulikuwa na fukuto kuhusu mustakabali wa nchi kuendelea kutawaliwa na CCM?

Hii kesi inaibua mengi mtambuka kuhusu wanajeshi kuwekwa mahabusu na kuteswa

Shahidi: Siku inayofuata nikiwa kwenye Cello siku inayofuata nikasikia Kilio, nikachungulia Kule Nyuma nikaona watu niliiokuwa nao Depo JKT , TPDF na 92KJ Komandoo (Wadepo wangu)

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…