Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Uhujumu Uchumi - Sept 17, 2021

wanafuatilia pesa walizo mpatia mbowe ili wachafue hali yahewa ya nchi hii imekuwaje ameshindwa? na lazima azitapike mbowe hela za mabeberu na hawatakubali mahakama ikimuachia huru
 
Hakuna kazi ngumu kama kutetea uongo. Baada ya uhuru Mwl Nyerere alipoona ni vigumu sana kutetea uongo kwenye mahakama zenye majaji wenye kujitambua na waliokuwa wakiamini katika haki ndipo alipoamua kuanzisha ile sheria kandamizi ya kuweka watu kizuizini bila ya kuwafikisha mahakamani.

Watawala wa sasa kwa kujua kabisa aina ya majaji waliowateua pamoja na sifa zao, wanakuwa na ujasiri wa kutunga kesi ya uongo tu na kumburuza mtu mahakamani kwa kujua kwamba wataitumia mahakama kupindisha sheria ili kukidhi matakwa yao ya kisiasa.

Ila ukweli utajulikana kwani hii "kesi" inafuatiliwa sana ndani na nje ya nchi.
Let us be patient.
 
One wonders, why take too long for the trial to commence? Or maybe there is a "Liaison" going on between the court and the prosecution side to have the former throw in the towel so as to save the regime from further ignominy. It's just my supposition.
 
Umetupa background nzuri ya historia ya Mahakama zetu.
 
Duuh, hebu fikiri kwa sauti kubwa kidogo, kwamba;

1. Mawakili upande wa mashitaka waliomba kesi ianze mapema saa 4abh, Jaji/mahakama na mawakili wa utetezi wakasema, SAWA NA IWE HIVYO....
Walikuwa kwenye kikao na jaji cha namna ya kupindua matokeo
 
Mliopo Mahakamani, Vipi leo mmeruhusiwa kuingia na Simu zenu? Au Laptop?
 
I am in a remote area, how is it going? has the trial commenced since you last posted?
 
Tuwaite human rights elites
 
wanafuatilia pesa walizo mpatia mbowe ili wachafue hali yahewa ya nchi hii imekuwaje ameshindwa? na lazima azitapike mbowe hela za mabeberu na hawatakubali mahakama ikimuachia huru
Damu ya Yesu Ikusaidia !Una shida Kwenye Maisha yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…