Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na rushwa. Shauri kuendelea kesho Nov, 2, 2021

Matata: naomba Exhibit P2

Matata: Shika Maelezo Yako

Matata: Wakati Unaulizwa na Wakili ulisema aliyekuwa anashuhudia ni wewe na Esther Sasa iambie Mahakama Katika Maelezo yako ni wapi Esther ametajwa

Shahidi: Hajaandikwa
tatizo lingine..
 
Ow
Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye. Mjibu mpumbavu kama ustahilivyo upumbavu wake, asije akajiona kuwa mwenye hekima zaidi. Kumtuma mpumbavu ujumbe, ni kama kujikata miguu au kujitafutia shida. Methali mdomoni mwa mpumbavu, ni kama miguu ya kiwete inayoninginia. Kumpa mpumbavu heshima, ni kama kufunga jiwe kwenye kombeo. Mpumbavu anayejaribu kutumia methali, ni kama mlevi anayejaribu kungoa mwiba mkononi. Mtu amwajiriye mpumbavu au mlevi, ni kama mpiga upinde anayejeruhi kila mtu. Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake, ni kama mbwa anayekula matapishi yake. Wamwona mtu ajionaye kuwa mwenye hekima? Nakuambia mpumbavu ni nafuu kuliko huyo.
Weka picha
 
Hivi kwanza MTALO ni kabila gani au ni ile gang maarufu inayosingiziwa kila baya siku hizi?
 
1635775656345.png
 
Katika majina yote niliyosikia tangu kuanza kwa kesi hii, jina MTALO ndiyo geni kabisa kwangu sijawahi kulisikia popote. Ndio maana nimejaribu hata kwenye google kutafuta kama kuna wengine na wako wapi.
 
Back
Top Bottom