Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Tupo hapa Rau Madukani, Anita Yupo hapa anauza mbege bila wasiwasi, wamvue baibui huyo shaidi fake!ANITA VALERIAN MTALO. Jina la shahidi kwa usahihi.
Mtu fulani wa Rau Madukani kanitumia inbox.
tatizo lingine..Matata: naomba Exhibit P2
Matata: Shika Maelezo Yako
Matata: Wakati Unaulizwa na Wakili ulisema aliyekuwa anashuhudia ni wewe na Esther Sasa iambie Mahakama Katika Maelezo yako ni wapi Esther ametajwa
Shahidi: Hajaandikwa
kesho yake hutaiona tena hewani, unafikiri hawapendi ?Kwanini TV ya Azam wasirecord hii kitu waoneshe, ita-hit kuliko Etugul!
Tupieni picha tumuone mtaro halisi tuachane na huyu wa hijabu na mbegeTupo hapa Rau Madukani, Anita Yupo hapa anauza mbege bila wasiwasi, wamvue baibui huyo shaidi fake!
Weka pichaUsimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye. Mjibu mpumbavu kama ustahilivyo upumbavu wake, asije akajiona kuwa mwenye hekima zaidi. Kumtuma mpumbavu ujumbe, ni kama kujikata miguu au kujitafutia shida. Methali mdomoni mwa mpumbavu, ni kama miguu ya kiwete inayoninginia. Kumpa mpumbavu heshima, ni kama kufunga jiwe kwenye kombeo. Mpumbavu anayejaribu kutumia methali, ni kama mlevi anayejaribu kungoa mwiba mkononi. Mtu amwajiriye mpumbavu au mlevi, ni kama mpiga upinde anayejeruhi kila mtu. Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake, ni kama mbwa anayekula matapishi yake. Wamwona mtu ajionaye kuwa mwenye hekima? Nakuambia mpumbavu ni nafuu kuliko huyo.
Heh! Kama ni kweli hiyo itakuwa hatari sana!Tupo hapa Rau Madukani, Anita Yupo hapa anauza mbege bila wasiwasi, wamvue baibui huyo shaidi fake!
Au usikute ni Mzee Mdee yule wa covid 19Avuliwe baibui au sio[emoji23], sina uhakika nae kabisa unaezakuta ni joti[emoji23][emoji23]
Jamhuri inatumia nguvu kulioko akili, expect the worst!Hii ni aibu.Jamhuri iwapange vizuri mashahidi wake.
Kwa utafiti huu wa haraka from the internet 44% ya Mtalo wako Dar na Dodoma. Join the dots. Is she from the notorious gang?
Akina Mtalo ni watu wa Uru .....!!Hivi kwanza MTALO ni kabila gani au ni ile gang maarufu inayosingiziwa kila baya siku hizi?
Ukoo gani?Akina Mtalo ni watu wa Uru .....!!