Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Wahi mirembe wakusaidie kabla hali haijawa mbaya! Yaani wewe ni mjinga kuliko ujinga wenyewe!
 
Kwa hiyo Mkapa alikuwa na muda wa kupoteza?
Samia hana muda mchafu, angekuwa na muda huo angeshaonana na hao watu maana ndiyo walikuwa wa kwanza kumuandikia barua kuonana naye, kaonana na watu wote hao kawapuuzia! BTW Samia siyo Mkapa
 
Kama naelekea kukuelewa ila bado.
 
Nitakutafuta nikununulie chips kuku na Pepsi bonge! Kama hukusikia kingai anavyopaniki basi wewe ni kiziwi usiyesaidika hata Kwa mashine ya kusikiliza!
 
Ni kweli,lakini iwavyo vyovyote hata Kama watakosa haki ktk hii mahakama,,wataipata ktka mahakama ya rufaa. Akina kingai wanachoweza fanya ni kuwanyima uhuru Kwa muda. Giza linapokuwa nene,asubuhi imekaribia.
 
Na kama ni gaidi na raisi akasema sio gaidi pia watashangilia.

Enyi Watanzania. Ni nani aliyewaloga?🤣

Binafsi naona hii kesi kama ya kisiasa lakini mahakama itaamua, hakuna namna.
 
Waipate wap????kamuulize babu seya na wanae ndugu nchi hii mwenye pesa au cheo akikukamia waweza potea hvhv hata kama haki ya kwako
Ni kweli,lakini iwavyo vyovyote hata Kama watakosa haki ktk hii mahakama,,wataipata ktka mahakama ya rufaa. Akina kingai wanachoweza fanya ni kuwanyima uhuru Kwa muda. Giza linapokuwa nene,asubuhi imekaribia.
 
Je, wajua Ole Sabaya amebakiza miaka 29 na siku 253 gerezani?
 
SISI TUNASEMA SISIEMU BILA YA MAGUFULI NI MAFII YA KUKU [emoji90][emoji90]NA MBOWE NI GAIDI TU nashangaa hadi sasa bado amjachinjana mahakamani kwa kuwa ni faida kwetu sisi WAZARENDO WA LEGACY YA MAGUFULI NA NYERERE tunawaona team chadema mnavyo vurugana na team msoga [emoji83][emoji83]
 
Hii kesi ilivokaa inanitia mashaka huwenda ni kweli kabisa mbowe alitaka kufanya mambo hayo ..

Kuna kitu kinanishangaza sana, wafuasi wa chadema wanamuona mbowe kama malaika kwamba hawezi kufanya mambo hayo.. ila kwa jinsi kesi inavoendelea sidhan kama atachomoka
 
CCM badala ya kufanya siasa za ushindani tumegeukia siasa za UBABE....

Nchi inahitaji uponyaji
Kwahyo nyie mnamuona mbowe msafi sana? Yaan afanye uhuni asikamatwe kisa et ni mbowe!! pumbafu
 
Nimekosa ile "Zeal" ya kuendelea kufuatilia "Proceedings" za "Kesi" hii hasa baada ya kugundua kwamba kumbe Tanzania hatuna kabisa majaji tulionao ni wa kimkakati tu. [emoji14] 😛
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]majaji tena siyo magufuli ...mimi nilijua shetani wenu ni magufuli sasa hayupo mnaanza kulia majaji niliwaambia waliofurahia kifo cha mzarendo jpm kuwa "halizao za mwisho zitakuwa mbaya kuliko za mwanzo wakabisha sasa kipusa yupo mjengoni anafanya yake
 



Kwa mujibu wa ‘the prevention of terrorism act 2002’ kupanga njama tu za kufanya ugaidi ni kosa la kisheria; sio lazima ukutwe na ushahidi wa vifaa au utende kosa lenyewe. Ipo ivyo kwenye sheria za nchi zote linapokuja swala la ugaidi. Hizi sio sawa na kesi zingine za jinai.

Issue ni kwamba je wana audio clips, text messages or any evidence ya mipango yao.

Kutumia confessions tu za watuhumiwa huku wakifanyiwa mahojiano bila ya mawakili wao, whose to say they were not forced to confess by means of torture; na baadhi ya watuhumiwa wameshasema hilo.

Kesi inakosa moral authority as days go, it lucks sufficient evidence (it doesn’t mean hiyo mipango aikuwepo).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…