Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021

Hakuna Chadema anayemuona mbowe ni malaika, tunataka muioneshe mahakama
kuwa mbowe ni gaidi kwa ushahidi usiotia shaka sio hii mbeleko ya majaji mnayoitegemea.
 
Kwa ushahidi wa kingai amna kesi hapo. Alijitahidi kuremba mashtaka ili ionekane wamemkamata lakini alipofika kwenye maswali kila kitu hajui.
Na kila kitu hapana, sasa kama hapana haya mashtaka yametokea wapi? Kuna watu wanatia hasira nyie!

Halafu Rais ni nani alimdanganya kuwa watuhumiwa wengine walishashitakiwa? Kwanini hakujipa muda kujiridhisha juu ya kinachoendelea? Kwa sasa anaona kinachoendelea na je kinaendana na maelezo aliyoiambia dunia? Aibu kubwa!
 
Kumbe ndio maana mwamba alikuwa anatamba kuwa ndani ya masaa sabini na mbili atakuwa waziri mkuu? Ha ha ha. Saa hizi anasota Segerea.
 
Sikikiza maelezo, hawafanyi hiyo kazi bure. Ni sehemu ya ajira yao mpya ya "Ulinzi binafsi" na hii ikikuwa assignment ya kwanza kuoima uwezo wao😴😴
 
Subirini, haraka ya nini? Au mmesahau ishu ya PGO? Mlishangilia mapemaa kabla mechi haijaisha matokeo yake mkagaragazwa, sheria siyo sawa na porojo za JF
 
tunachoomba kukutana nacho ni mamlaka ya Urais tu , lakini Samia ni wa kawaida sana , usijisahau utachekwa , angalia picha hii halafu waulize wanaokulipa kwamba ilikuwaje .

View attachment 1987762
Hiyo mamlaka ya Urais nani anaiongoza? Huyo aliyewaalika kwenye hiyo picha baadaye si mlimgeuzia kibao na kumuita dhaifu, hafai, anachekacheka? Mkasema mnataka Rais dikteta!! Hamna jema jamaa, hata mfanyiwe nini!! Sasa mamlaka ya Rais mnayoitaka (Inayoongozwa na Samia) imeshaghairi kukutana nanyi kutokana na utovu wenu wa nidhamu na matusi mnayomtukana kila siku, pambaneni na hali yenu sasa....
 
Umesahau mambo ya PGO mara hii? Mlishangilia humu mkaja lazwa na viatu! Kifupin Kingai ni shahidi tu, ila leo kascore kuliko wanasheria wenu wote! How come unamuuliza Kingai kuhusu kauli ya Rais?? Kibatala anauliza maswali kwa mihemko ya stories za wanasiasa
 
Nitakutafuta nikununulie chips kuku na Pepsi bonge! Kama hukusikia kingai anavyopaniki basi wewe ni kiziwi usiyesaidika hata Kwa mashine ya kusikiliza!
Waliopaniki ni wale waliosimama wote kwa pamoja, usisahau kwenye kesi ndogo mlisema Kingai kabanwa na Kibatala mpaka akaenda haja, matokeo unayajua!
 
Kwahyo nyie mnamuona mbowe msafi sana? Yaan afanye uhuni asikamatwe kisa et ni mbowe!! pumbafu
Hakuna binadamu mkamilifu.

Lakini hatupaswi kuutumia ubinadamu wetu kukandamiza wengine.

Hebu tuelezee usafi wa Kingai anayeapa kwa Quran kisha anadanganya mahakamani
 
Jifunze kwanza kuandika...hopeless person kabisa hovyo tu CCM ndio maana kichwani ni zero Sasa huyu anaeza hata kufrem kesi ya kubumba jinga sana
CCM tupo vizuri. Achana na huyo poyoyo maana hatuna wasiojielewa chamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…