Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Na vipi mkoa wa Pwani na mingineyo?
 
Huyu mgombea wa Njombe mjini Deo Mwanyika ni yule aliyekuwa Acacia aliyeshtakiwa Kwa makosa lukuki ya uhujumu uchumi na pia alituhumiwa kushirikiana na Lissu kuisaliti nchi au majina yamefanana?
Ndo mwenyewe.
 
Utajua ni wapi hapo baadae.......
Unazingua nijue kwani sipajui. Kiufupi nimeingia Arusha hapo Ilboru advance na mpaka saivi kazi naifanyia Arusha so najua kuliko unavyowaza mkuu. Ama kwa ile tabia yenu ya kugongea pombe ama nijue nini zaidi. Ama madharau ya waarusha kuwa huyu simsalimii wakati alikuwa amepanga hapa kwetu muda huo MTU anapita na usafiri wake wa maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…