Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
- Thread starter
-
- #201
Ha ha ha ha ha ha ha hA. Anatoa mimba kuliko sadaka.We binti mbona una kiherehere maana kila kitu kurukia hata califonia hujui kuandika na hutaweza kupata kizazi kwa jinsi unavyochoropoa mimba
We nae wale wale.Huyo jamaa ni habari nyingine. Ni difensive mido ila anaweza aka ofa hata holding!
Huwezi kuanza kuongelea uchawi kama wewe sio mchawi tunaongelea mpira ushakimbilia kwenye tunguriHuu ni uchawi ukiwa bado kijana, wachawi hawapendi siku zote maendeleo ya wengine, mnatafuta kila namna kuondoa furaha ya wanajangwani lakini Mungu mkubwa hamtafanikiwa maisha.
Ivi walitaka kumtoa kafara, Konde boy ?!Huwezi kuanza kuongelea uchawi kama wewe sio mchawi tunaongelea mpira ushakimbilia kwenye tunguri
Siku zote wachawi hawapendi maendeleo ya watu, hizi ni tabia za kichawi ukubali au ukatae..Huwezi kuanza kuongelea uchawi kama wewe sio mchawi tunaongelea mpira ushakimbilia kwenye tunguri
Wameona wapate ubingwa kwa kila namnaIvi walitaka kumtoa kafara, Konde boy ?!
Si kwa sababu wewe mpiga ramli na umerithishwa tunguri na bibi yako ndio maana post zako zimejaa uchawichawiSiku zote wachawi hawapendi maendeleo ya watu, hizi ni tabia za kichawi ukubali au ukatae..
Ukitaka kichekesho Kama hiki tuma kwenda 52400Hamna msanii Mkubwa Wa bongo fleva kumzidi harmonize hapa bongo!
POLE KAMA IMEINGIA SANA..Si kwa sababu wewe mpiga ramli na umerithishwa tunguri na bibi yako ndio maana post zako zimejaa uchawichawi
Huyo jamaa atakuwa mmakonde mwenzake ndio maana anaongea hivyoH ha ha ha ha hA, kupata kituko kama cha Harmonize bofya *149*Mwananchi# kisha OK
Pole wewe mtoto wa mwaka 86 umeshaanza kuwa mwangaPOLE KAMA IMEINGIA SANA..
Kwani wanajangwani mna furaha ya kitu gani labda?... mnatafuta kila namna kuondoa furaha ya wanajangwani lakini Mungu mkubwa hamtafanikiwa maisha.
Umasikini wako na uvivu wa wazazi wako waliokuwa wavivu wakati wazee wengne wanasaka hela ndio chanzo cha chuki hiziIla nimesikitika sana kwani wanaojiita wananchi kiukweli sio wananchi bali ni kundi kubwa la uneducated linalotumiwa na watu kama rostam, gharib na manji ambao walikuwa na bado mafisadi papa waliofisadi pesa za wavuja jasho wanaonekana mashujaa kisa ni washabiki wa yanga.
Manji na Gharib wakati wa serikali ya awamu ya nne walifanya watakavyo na kukwepa kodi na hakuna asiyejua uhusika wa rostam kwenye kashifa ya umeme
Wewe umelala kwenye kochi la shemeji yako unaishi kwa fadhila za dada yako akitimuliwa na wewe unarudi kwenu chokoraa mkubwaUmasikini wako na uvivu wa wazazi wako waliokuwa wavivu wakati wazee wengne wanasaka hela ndio chanzo cha chuki hizi
Swali mujarabu hili.Kwani wanajangwani mna furaha ya kitu gani labda?
Swali mujarabu hili.Kwani wanajangwani mna furaha ya kitu gani labda?
Watu waliona mapemaMreno hamna mchezaji Pale,
πππMbona Yanga wamepoa saaana, Yanga baridiiiiiiiiiiiiiiiiiiii( kwa sauti ya kikwete).
ππWananchiiii tuna jambo letuuuu