Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Huu ni uchawi ukiwa bado kijana, wachawi hawapendi siku zote maendeleo ya wengine, mnatafuta kila namna kuondoa furaha ya wanajangwani lakini Mungu mkubwa hamtafanikiwa maisha.
Huwezi kuanza kuongelea uchawi kama wewe sio mchawi tunaongelea mpira ushakimbilia kwenye tunguri
 
Ila nimesikitika sana kwani wanaojiita wananchi kiukweli sio wananchi bali ni kundi kubwa la uneducated linalotumiwa na watu kama rostam, gharib na manji ambao walikuwa na bado mafisadi papa waliofisadi pesa za wavuja jasho wanaonekana mashujaa kisa ni washabiki wa yanga.
Manji na Gharib wakati wa serikali ya awamu ya nne walifanya watakavyo na kukwepa kodi na hakuna asiyejua uhusika wa rostam kwenye kashifa ya umeme
Umasikini wako na uvivu wa wazazi wako waliokuwa wavivu wakati wazee wengne wanasaka hela ndio chanzo cha chuki hizi
 
Umasikini wako na uvivu wa wazazi wako waliokuwa wavivu wakati wazee wengne wanasaka hela ndio chanzo cha chuki hizi
Wewe umelala kwenye kochi la shemeji yako unaishi kwa fadhila za dada yako akitimuliwa na wewe unarudi kwenu chokoraa mkubwa
 
Back
Top Bottom