NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kikwete kaongea saana kisha akasema"basi inatosha nisije kuiombea kura CCM"Mh kikwete anaonhea. Jukwaani
Kabisa, walivokuwa kamili waliwasumbua sana. Kadi imewaasili.Yanga wanachekesha..wanacheza na timu nusu lakini wanajisifu eti tonombe Ni hatari[emoji23][emoji23][emoji23]
Kadi imewaua. Ushauri mzuri.Kuweka ladha kipindi cha pili.. mechi ya kiurafiki... nashauri wageni wetu waruhusiwe kuongeza mtu mmoja.. tucheze wote 11 kwa 11 ili tuone ubora wa wachezaji wetu kwa uhakika
Manara fala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,ila daah Konde begi lile limekuwa kama shock obsorber la sivyo angeumia.
Jaman simba wakorofi.Manara fala sana,ila daah Konde begi lile limekuwa kama shock obsorber la sivyo angeumia.
Manara fala sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],ila daah Konde begi lile limekuwa kama shock obsorber la sivyo angeumia.
Nikweli jamaa Ni mkali Sana tu.. mwaka juzi alitubana Sana akiwa VitaHuyu Tuisila Huyu anajua..japo mimi ni shakibi wa Mnyama lakini kwa hili nisiwe mnafiki! Na hii ndio inatakiwa hata siku tukikutana hakuna kisingizio!
Hilo haliwezekani,Kuweka ladha kipindi cha pili.. mechi ya kiurafiki... nashauri wageni wetu waruhusiwe kuongeza mtu mmoja.. tucheze wote 11 kwa 11 ili tuone ubora wa wachezaji wetu kwa uhakika
Refa kaharibu mpira hawa jamaa walicheza vzur sana kabla ya kadi.refa naye fala kukimbilia kutoa red card ameharibu mpira
Aibu yako..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza nijitambulishe, mimi ni Simba Sc fun, naipenda Simba Sc to the Climax/Fullest. Leo ni kilele cha wiki ya mwananchi, uwanja wa mkapa, nimefungua uzi maana naona dalili mbaya , nawaonea huruma wana yanga, Leo wanakwenda kuaibika, unajua kwanii ?!
1. Unajua siku zote wanaoujaza uwanja katika mechi za Dar Young Africans ni Simba Sc ndio huwa tunawasaidia kuujaza uwanja, lakini kwa masikitiko Leo tunajambo letu Arusha, hivo hamtapata watu.
2.Washabiki wengi wa vilabu vya Simba Sc na Dar Young Africans ni wanasiasa na wasanii, mfano Mo, Jk, Mwigulu,Diamond, Harmonize, Mboto, JB, Nandy, Piere Liquid. mbaya zaidi kupindi hiki wapo bize na kampeni, hivo hawahamasishi nawala hawatahudhuria.
Karibuni,
Kapicha nimeweka, ilikuwa 1104Hrs.View attachment 1552880
Shida yenu hamjui sheria za mpirarefa naye fala kukimbilia kutoa red card ameharibu mpira