Yaliyojiri kilele cha wiki ya mwananchi uwanja wa Mkapa

Kuweka ladha kipindi cha pili.. mechi ya kiurafiki... nashauri wageni wetu waruhusiwe kuongeza mtu mmoja.. tucheze wote 11 kwa 11 ili tuone ubora wa wachezaji wetu kwa uhakika
Kadi imewaua. Ushauri mzuri.
 
Aibu yako..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uwanja tumeujaza na mechi tunashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…