Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
let me break down mabishano yetu:-naona unalima majaluba baada ya kupata ulabu teh teh teh, ulabu ukikutoka na kurudia ufahamu wako kwamba haujalima wala wewe si mkulima, urejee post 446.
You are a wasted talent, hukuwepo kwenye mjadala ukaishia kuhama toka kwa jirani mmoja hadi mwingine kufuata TV, bwa ha ha ha haaaaaaa.
That is a psychology of public speaking,its called establishing rapport. Ili usikiliwe si lazima kama alivyofanya yule Dada Nkya kuwa shhhhhhh (shutup) watu. Issa Shivji ana uzoefu and he knows how to establish rapport. That's why he repeated that word twice in few seconds, it was simply to attract attention.
Kwa ujumla wazungumzaji wamechambua katiba kwa ufasaha ingawa kuna wachangiaji ka wawili waliboa washiriki mpaka wakazomewa! Nampongeza sana Dr Lwaitama kwa mchango wake wa kina.
Kitila Mkumbo,
Kazi nzuri sana, mmeonesha mwamko wa hali ya juu katika hili swala la katiba. Mjadala kama huu urudiwe na wachangiaji wachujwe ili kuwe na uelekeo unaoeleweka. Pia mtoke na roadmap ili katiba ibadilishwe. Hivi yule waziri wa katiba nk nk alikuwepo?
Japokuwa ni mwanaCCM!
..alikuwa anatikisa kiberiti...! !
ntarekebisha mkuu
huo mstari umesimama!
Hayo sio maneno yangu ni Prof. Shivji, na alikuwa anaelezea mfano ambao alikutana na mtu mmoja kwenye daladala na akamuuliza juu ya ufahamu wake wa masuala ya katiba, akamjibu kuwa hajui masuala ya katiba kwa sababu hajui kusoma wala kuandika. Ndipo prof Shivji akatoa kauli hiyo hapo!Uko too general, unamaanisha kusoma na kuandika kiswahili tu au lugha zote.
Hata kiswahili wapo wengi wasiojua kusoma wala kuandika. Kwani dhana ya kisomo cha watu wazima ilifishwa na nani? Mbona mie nilikuwa nashiriki hata kutunga nyimbo za kuimba siku ya Kisomo tarehe 8/9;kila mwaka?
Kuna jamaa kanifurahisha sana. Anadai tuepuke njia rahsi na nyepesi kuda katiba. Nchi yoyote ile yenye maendeleo imepita kwenye misuko suko na umwagaji damu. Awali Mabere Marando alisema katiba ilishaanza kuandikwa kwa umwagaji damu Arusha.
Hakuna kubembelezana hapa suala ni katiba mpya yenye kushirikisha wananchi.
jamaa alikuwa na maana pale rais anapoingilia na kusamehe watu wengine hata kabla ya kufikishwa mahakamani, nadhani ni kama mafisadi waliporuhusiwa kurudisha fedha walizoiba kinyemela na kila kitu kikaishia hapo.Katiba inayomfanya mtu mmoja kuwa Mungu mtu haifai----Bw. Rugazia.
Mfano msamaha anaotoa rais kwa wafungwa........du!!
Ni kweli marekebisho au utungwaji upya wa katiba hauendani na kutaka kuiondoa CCM madaraka wanancho wote wanatambua kuwa CCM imetangazwa kuwa mshindi na tume ya Uchaguzi ,hivyo mabadiliko ya Katiba yataendana kuondoa kile kilichomuweka CCM na kutafuta njia mbadala ya kuweka mtangazaji asiependelea upande wowote yule na pia awe mwenye kutenda haki na kuweka wazi kila kitu.