soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Kuna jamaa kanifurahisha sana. Anadai tuepuke njia rahsi na nyepesi kuda katiba. Nchi yoyote ile yenye maendeleo imepita kwenye misuko suko na umwagaji damu. Awali Mabere Marando alisema katiba ilishaanza kuandikwa kwa umwagaji damu Arusha.
Hakuna kubembelezana hapa suala ni katiba mpya yenye kushirikisha wananchi.
Hakuna kubembelezana hapa suala ni katiba mpya yenye kushirikisha wananchi.