Mwanaukomee
Member
- Sep 1, 2020
- 61
- 87
Unajua ukweli bora tuseme tuu hakuna mbunge mwenye kazi nyepesi kurudi bungeni kama Zitto. Ila pia naamini kwa Kigoma mjini Lissu atapata kura nyingi kuliko mgombea yeyote ule wa urais!
Yani Lissu atapata kura nyingi ila mgombea wa Chadema wa ubunge hatapita!
Mpaka Oct ifike, tundu atakuwa kwenye nafasi ya Membe au lipumba.Namba hazidanganyi Mitandaoni na hata majukwaani CCM safii
View attachment 1573190
Wewe mbona kiazi sana? Hayo matokeo alikuja nayo Nape kule Twitter jana anapata comments 770 za kumchana chana hadi akakiri mwenyewe kuwa hakuwahi kupata comments nyingi kama zile.Namba hazidanganyi Mitandaoni na hata majukwaani CCM safii
View attachment 1573190
Magufuli kiboko yao. Watanzania wote, tumekuelewa. Wana saccos wa Ufipa, andaeni malimao kabisaaa.https://www.facebook.com/
View attachment 1573175
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 18 2020 ameendelea kupiga kampeni, ambapo atakua Kigoma, viwanja vya Lake Tanganyika.
Wana Kigoma mtadanganywa mpaka lini??
Kigoma hatumchagui Magufuli!Hana jipya alilofanya huku kigoma!
Kipi kafanya 5 yrs kigoma
| Daraja la Malagarasi katika barabara ya Kabingo – Kasulu – Manyovu (Kigoma) |
Project ya kikwwete msidandie treni
Daraja la Malagarasi katika barabara ya Kabingo –
Kasulu – Manyovu (Kigoma)
Tuna imani Lissu atafanya mambo mazuri zaidi na yenye tija zaidi!Mfuko waDhamana wa Mikopo kwa Wajasiriamali katika Sekta ya Kilimo
(SIDO SME-CGS) umetoa udhamini wa mikopo 33 yenye thamani ya
shilingi 1,048,000,000 kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro,
Arusha, Kigoma, Mwanza, Singida, Mbeya, Iringa, Njombe, Tanga na
Manyara;
Lete fact
| Ununuzi wa Rada tatu za hali ya hewa kwa ajili ya kufungwaMikoa ya Mtwara, Mbeya na Kigoma |
Umeziona au ahadi
Ununuzi wa Rada tatu za hali ya hewa kwa ajili ya kufungwaMikoa ya Mtwara, Mbeya na Kigoma
Project ya kikwwete msidandie treni
Tuna imani Lissu atafanya mambo mazuri zaidi na yenye tija zaidi!
Tunamsubiri Lissu na kura tutampa!
Umeziona au ahadi
Tunaenda na Lissu!Spana zimekubali mpaka vyuma vinasuguana!
Project ya kikwwete msidandie treni
| Mradi wa maji kutoka Ziwa Tanganyika kwenda katika mji wa Ujiji Kigoma na vitongoji vyake |
Hakuna maneno aliyosema?https://www.facebook.com/
View attachment 1573175
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 18 2020 ameendelea kupiga kampeni, ambapo atakua Kigoma, viwanja vya Lake Tanganyika.