Mwanaukomee
Member
- Sep 1, 2020
- 61
- 87
Unajua ukweli bora tuseme tuu hakuna mbunge mwenye kazi nyepesi kurudi bungeni kama Zitto. Ila pia naamini kwa Kigoma mjini Lissu atapata kura nyingi kuliko mgombea yeyote ule wa urais!
Yani Lissu atapata kura nyingi ila mgombea wa Chadema wa ubunge hatapita!
Naona tunaenda vizuri,Taratibuu tu tuoneshane Makali