Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kutoka Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma: Kampeni za Dkt. Magufuli kusaka urais 2020-2025

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kutoka Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma: Kampeni za Dkt. Magufuli kusaka urais 2020-2025

Unajua ukweli bora tuseme tuu hakuna mbunge mwenye kazi nyepesi kurudi bungeni kama Zitto. Ila pia naamini kwa Kigoma mjini Lissu atapata kura nyingi kuliko mgombea yeyote ule wa urais!
Yani Lissu atapata kura nyingi ila mgombea wa Chadema wa ubunge hatapita!

Naona tunaenda vizuri,Taratibuu tu tuoneshane Makali
 
Namba hazidanganyi Mitandaoni na hata majukwaani CCM safii
View attachment 1573190
Wewe mbona kiazi sana? Hayo matokeo alikuja nayo Nape kule Twitter jana anapata comments 770 za kumchana chana hadi akakiri mwenyewe kuwa hakuwahi kupata comments nyingi kama zile.
Sasa alipoiletea ilikuwa imeandikwa "John Magufuri" na "Tundu Lussu" naona mmeenda ku edit ila ndugu yenu Nape aliipata jana!
 




View attachment 1573175

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt John Pombe Magufuli, leo Septemba 18 2020 ameendelea kupiga kampeni, ambapo atakua Kigoma, viwanja vya Lake Tanganyika.

Magufuli kiboko yao. Watanzania wote, tumekuelewa. Wana saccos wa Ufipa, andaeni malimao kabisaaa.
 
Kigoma hatumchagui Magufuli!Hana jipya alilofanya huku kigoma!

Mfuko waDhamana wa Mikopo kwa Wajasiriamali katika Sekta ya Kilimo
(SIDO SME-CGS) umetoa udhamini wa mikopo 33 yenye thamani ya
shilingi 1,048,000,000 kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro,
Arusha, Kigoma, Mwanza, Singida, Mbeya, Iringa, Njombe, Tanga na
Manyara;
 
Mfuko waDhamana wa Mikopo kwa Wajasiriamali katika Sekta ya Kilimo
(SIDO SME-CGS) umetoa udhamini wa mikopo 33 yenye thamani ya
shilingi 1,048,000,000 kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro,
Arusha, Kigoma, Mwanza, Singida, Mbeya, Iringa, Njombe, Tanga na
Manyara;
Tuna imani Lissu atafanya mambo mazuri zaidi na yenye tija zaidi!
Tunamsubiri Lissu na kura tutampa!
 
Tuna imani Lissu atafanya mambo mazuri zaidi na yenye tija zaidi!
Tunamsubiri Lissu na kura tutampa!

WhatsApp Image 2020-09-18 at 4.00.23 PM.jpeg
 
Back
Top Bottom