Sijui nani ndio mmiliki halali
sory wadau hivi ruge na zamaradi ni wapenzi au??
mke halali nani sasa kati ya hao watatu.
YALIYOTOKEA JANA NI AIBU...
Sorry to say ila Siamini kama Wanawake wanaweza kukosa akili kwa kiwango hiki...Nilijua Maturity ya Wanawake comes with age lakini nadhani I was wrong!
Mjanja alikuwa Finna Mango tu! Aliishi na Ruge nyumba moja muda mrefu na hakuzaa nae.
Kipindi kile kile alikuwa anatoka na Ray c na Lady jay Dee.
Finna akaona hakuna bwana hapa zaidi ya kusogeza siku,
Na hata jibu birthday wishes hata moja.
Hana kanuni muda wowote sehemu yoyote anaweza kuanzisha uhusiano.
Ruge n muunin wa sarekal tatu kwa vitendo
Sijui nani ndio mmiliki halali
Haaa..wanajulia wapi na wao wameingia mjini juzi..utoto mwingi