Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Jaman muacheni sukari ya warembo wa watu , u handsome nao unachangia
We pesa zinachangia sio suraaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman muacheni sukari ya warembo wa watu , u handsome nao unachangia
We pesa zinachangia sio suraaa
Binamu mbona baba juju handsome tu
Mbona sijawah sikia akina Mohammed dewji, january makamba na akina mengi wakigombaniwa jaman au wenyew sio sukar ya warembo?
"Bestest"
sory wadau hivi ruge na zamaradi ni wapenzi au??
Naskia kibonde alisimamishwa kazi kwa wiki 2 baada ya kushiriki tangazo la mchepuko uku akijua Boss wake ndo mdau mkubwa wa mchepuko tena bila kivazi
Afu wa kina B12 watamueshimu mtu kwel?,boss mwenyewe jamvi la wagen Dah naiurumia redio na TV zao labda wataangalia madem zake na watoto inaonekana anao wa kutosha uyo shomile!
Hahahaaaa! best, bester, bestest!
Mjanja alikuwa Finna Mango tu! Aliishi na Ruge nyumba moja muda mrefu na hakuzaa nae.
Kipindi kile kile alikuwa anatoka na Ray c na Lady jay Dee.
Finna akaona hakuna bwana hapa zaidi ya kusogeza siku,
Na hata jibu birthday wishes hata moja.
Hana kanuni muda wowote sehemu yoyote anaweza kuanzisha uhusiano.
fina na jdee nao wako kwenye list? Wakora sana ruge
Shikaaaamooo petha
Movie kama hizi za series dawa ni usikose hata episode moja
Sijui nani ndio mmiliki halali
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
"Bestest"
Wengine wanakuwaga wanaume majina tu,kiuhalisia sio wanaume hivyo usishangae kuona mambo kama hayo.