TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,651
- 1,127
sory wadau hivi ruge na zamaradi ni wapenzi au??
Hapana sio wapenzi, ni washabiki ya man u
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sory wadau hivi ruge na zamaradi ni wapenzi au??
Mwanaume anapimwa mafanikio yake kwa kuangalia aina ya familia anayoongoza.
Mpambano uko instagram.....kila mtu amemuwish baby ruge hbd. Madongo yanarushwa na wahusika huku washabiki wa team zote wakishabikia....ray c amesema he (ruge) will always be mine na zama anajidanganya tu, Zamaradi amesema you are my everything, na mama jordan kasema wana miaka 9 na anamshukuru Mungu kwa kimuumba ruge
Team libolo yake itakuwa tamu sana..ngoja na mie nimuibukie nionje hicho kinachogombewa na zena, betina na kay
basi ni shida mjini.. mie nlijua ni team libolo! Basi. hela inawafanya watoane roho live bila aubu hasa rayc na zamaradi.kinachogombewa hapo siyo libolo bali ni pesa na umaarufu kunuka tu.
huyu mhaya hatare,..kweli ukiwa na hela utaitwa cuteful!
PESA PESA angekua hanaa wala hata lakin Zamarad nae ashakosa mwanaume acha tu amshikilie ruge hana pa kwenda
PESA PESA angekua hanaa wala hata lakin Zamarad nae ashakosa mwanaume acha tu amshikilie ruge hana pa kwenda
Aisee ruge ni noma....
Aisee Heaven on Earth huyo ni wa kupuuza tu, kafanya kusudi maana kuna kitu alitarajia.Rutta kawa bibie..........
ka huna uhakika wa jinsia tumia Mkuu
Ruge n muunin wa sarekal tatu kwa vitendo[/QUhaOTE]
Hahahaha daaa sijui kama kuna mtandao wenye member wenye vituko kama jf.
Mkuu umeongea point sana, tukiwaambia hata hapa jf wanasema tunawachukia huku si kujidhalilisha kabisaWanawake mna utu na dhamani ya asili mliyopewa na Mungu...kwanini wengi wanashindwa kutunza heshima hiyo kubwa?......Alafu washabiki wakubwa wa haya (wachochezi) ni wanawake wenyewe......
Pesa zinapelekea kufanya yote haya......bila kujali vizazi vyenu wakianza watoto wenu watashuhudia haya kupitia mitandao hii hii.......mishipa ya aibu imewakatika enhe?......Don't care enhe?...Haya bana.....endelezeni ujanja ujanja wa mjini ili maisha yasogee lakini UTU ukichakaa umechakaa.....wapo wanawake wengi wa mfano....inawezekana...
Tafuta namna ya kusimama mwenyewe kwa miguu yako na uridhike kuishi kwa jasho lako ili ulinde utu wako......
Kama unaweza kuongea na msanii Vumilia aliejitoa THT ndiyo atakupa story zaidi na sababu yake kujitoa THT, jamaa ili upate ufadhiri wake lazima akuonje! Kama ni mwanaume uwe na talent kweli.
hakuna hata mle hapo wote vichunchuda wa pembeni............
na Ray C ana bwana ake kila siku yuko nae lakin hapo kwa Ruge anasema
your my rock sijui hata huyu mwanaume wake anajisikiaje
Shosti mzima? Na huku ushafika? Ha ha haaaaaa!! Habari za mujini.....