Yaliyojiri kwenye Birthday Ya Ruge Mutahaba

Mwanaume anapimwa mafanikio yake kwa kuangalia aina ya familia anayoongoza.
 

Hao wanawake wote hawajielewi
 
kinachogombewa hapo siyo libolo bali ni pesa na umaarufu kunuka tu.
basi ni shida mjini.. mie nlijua ni team libolo! Basi. hela inawafanya watoane roho live bila aubu hasa rayc na zamaradi.
 
Mkuu umeongea point sana, tukiwaambia hata hapa jf wanasema tunawachukia huku si kujidhalilisha kabisa
 
Kama unaweza kuongea na msanii Vumilia aliejitoa THT ndiyo atakupa story zaidi na sababu yake kujitoa THT, jamaa ili upate ufadhiri wake lazima akuonje! Kama ni mwanaume uwe na talent kweli.

Daah napata pcha sasa,vumilia anaimba ni noma! Lakin looh walaiamua kuzima kipaj chake!
 
hakuna hata mle hapo wote vichunchuda wa pembeni............

na Ray C ana bwana ake kila siku yuko nae lakin hapo kwa Ruge anasema
your my rock sijui hata huyu mwanaume wake anajisikiaje

Wengine wanakuwaga wanaume majina tu,kiuhalisia sio wanaume hivyo usishangae kuona mambo kama hayo.
 
jamaaa inaonekana ni mgodi wa dhahabu....
 
Reactions: SMU
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…