Yaliyojiri kwenye Birthday Ya Ruge Mutahaba

Binamu mbona baba juju handsome tu

Mbona sijawah sikia akina Mohammed dewji, january makamba na akina mengi wakigombaniwa jaman au wenyew sio sukar ya warembo?

Wale nadhani wanafanya kwa sirii sanaaa hawataki matangazoo
 
Afu wa kina B12 watamueshimu mtu kwel?,boss mwenyewe jamvi la wagen Dah naiurumia redio na TV zao labda wataangalia madem zake na watoto inaonekana anao wa kutosha uyo shomile!

Kazi na dawa lol
 
Ruge anatembeza dudu mbaya + katerero ndio balaa mademu wa3 wote wanajuana.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: SMU

fina na jdee nao wako kwenye list? Wakora sana ruge
 
Reactions: SMU
Lol kumbe bora machikini ruge angekuwa muichilamu angeweza tu kuwaoa wote hao lakini ndoa moja maana yke ni kuruhusu michepuko yote hii huruma kwa hao nyumba ndogo ha ha haaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…