Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .
Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
=========
Alishachafua kote huko na huu ndio mkoa wa mwisho kufika kwake.hivi Lissu amefika rukwa kweli?
Hata asipolizungumzia la Membe limeisha Mkuu...Naomba amkemee yule bwana kwa kubeba wanafunzi kwenye malori na kukatisha masomo.
Pia suala la membe limalizwe
Amefikahivi Lissu amefika rukwa kweli?
Membe ni mamluki atampigia kura boss wake,Hata asipolizungumzia la Membe limeisha Mkuu...
Ndio alifika,Sumbawanga mpaka Nkasi/Namanyerehivi Lissu amefika rukwa kweli?
hivyo akishamaliza huko kusini atakiwa ameahamaliza mikoa yote?Amefika
Lete updates basi acha kelele tuma picha picha, ka video kama unasema kweliWakuu natanguliza salamu , Ikumbukwe kwamba tumebakiwa na siku 3 tu za kampeni ambapo baada ya hapo ni Uchaguzi wa kihistoria ambao unakwenda kukata minyororo ya utumwa waliyofungwa Watanzania kwa miaka mingi sana , uongozi ujao wa Tundu Lissu unakuja kuondoa utumwa na kurejesha Uhuru na haki kwa wananchi , sina shaka na ushindi wake .
Leo Mh Lissu atakuwa Mkoani Ruvuma , ambako atavurumisha mikutano kadhaa , na kama kawaida yetu tutakuletea kila kinachojiri .
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.
=========
Membe ni mamluki atampigia kura boss wake,Hata asipolizungumzia la Membe limeisha Mkuu...
Hili ni jambo linaloniumiza kichwa sana mkuuKyela na Rungwe hatujamwona Lissu wala Salum Mwalim, tunawahitaji
endelea kubaki hapa hapa jfLete updates basi acha kelele tuma picha picha, ka video kama unasema kweli
Ngoja niagizie mfuko wa popcon basendelea kubaki hapa hapa jf