Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtiifu Kwa subfer-gay, akikuambia lia unakamua mchozi mzito na kamasi!Mimi ni mwanaCdm mtiifu,ila nasema kweli.
Mtwara mjini alipita wakati wa uzinduuziMbona mtwara mjini ,masas tandahimba ,newala ad nachingwea ajafika tumeona lindi mjini tu
sitasema neno lakini naamini iko siku utaniomba radhiLive with no updates is non sense
Kipenzi chako.....Ahsante sana mkuu Erythrocyte umetutendea Haki sisi tuliombali, tunamtakia kila Heri kipenzi cha Watanzania....Hakika Mtu huyu anapendwa sana na Wananchi na hakuna kitakachomzuia kwenda Ikulu, Nia ya kumchagua tunayo na Sababu za kumchagua tunazo....
YAPIGWE NA PICHA ILI KUWE NA USHAHIDIWito wa Muhimu : TOA TAARIFA KUHUSU VITUO HEWA NA MALORI YANAYOSAFIRISHA KURA HEWA ( MAHINDI ) HARAKA IWEZEKANAVYO
Cha WatanzaniaKipenzi chako.....
ok, ameshafanya kampeni unguja na pemba?
Ndiyo. Amefikahivi Lissu amefika rukwa kweli?
Mkuu mbona unamaswali ya kipuuzi?hivyo akishamaliza huko kusini atakiwa ameahamaliza mikoa yote?
na vipi zanzibar ameshafanya kampeni kule?
Lori la " Mahindi " limeonekana jana lakini Mahera hakusema kituYAPIGWE NA PICHA ILI KUWE NA USHAHIDI
huna hoja wewe , subiri elfu 7 zakoMsaliti wa Nchi tayari ana tiketi ya kurudi kwao ubeligiji
nmeuliza kwa sababu nataka kufahamu, ubize umenifanya nipate taarifa hafifu za kampeniMkuu mbona unamaswali ya kipuuzi?
sawaKama wewe ni meneja wa kampeni yake, mpeleke basi. Wapeleke Queen na Rungwe pia. Na pia mpeleke Magufuli kusini.
Huyu ni mmeru kitomari Mbise.(kitombise)
usihofu mkuu , JF ipo kwa ajili yakonmeuliza kwa sababu nataka kufahamu, ubize umenifanya nipate taarifa hafifu za kampeni