Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Take it easy mkuu....Mimi narudia tena...hii nchi...alhamdullilah.Kumbe inatufaa tukiwa na wanasiasa MAFISADI....wachukue kila kitu kwani kwa dalili hizi hamna chakusaidiana sisi kama wananchi.Huu ni USNITCH wahali ya juu.
Hivi mnafaidika nini na huu ushabiki maandazi??...kibakuli kashatiwa dole mkuu unalijua hilo,tulimtia dole hapa moshi...
anatiaga huruma ngosha the don....ila hata belle 9 nae khaaaa
Toa duku duku lako bibie
anakuuma wepi?
Tumemaliza shighuli ya KTMA sasa ni MTV na zike za nigeria. Kiba asubir mwakani tena maswala ya tuzo
Usikurupuke ku'quote comment za wanaume asee, unajielewa kwel ww???
Watanzania wengi wana MTINDIO WA UBONGO(WIVU,MAJUNGU,UVIVU,VISASI,UMBEA n.k...).
Tumemaliza shighuli ya KTMA sasa ni MTV na zike za nigeria. Kiba asubir mwakani tena maswala ya tuzo
Akili ako haitoshi kujibishana na akili yangu, una akil ndogo sana mkuu, sorry for that.
Na wewe kwa nini unamchukia kiba?? Ina maana huzisikii nyimbo zake au?? Mbona hamkulalamika walivyokuwa kwenye category moja? Mlifikiri wasanii waliokuwa kwenye hiyo category wamesindikiza?? Swali linarudi kwako unafikiri kwa nini diamond aliwekwa kwen category moja na kiba??
Kwa kitorondo kitorondo? Haya sasa madharau live chief
Anatiaga huruma Ngosha the Don....ila hata belle 9 nae khaaaa
una maana gani..kwamba diamond uwezo wake ni mkubwa kuliko waliochukua sema kura hazijatosha tu..si ndio?Acha matusi wewe...
Yaani Diamond kushindwa ndio uwaite watanzania vilaza???
Diamond ameshindwa kwa sababu kura hazikutosha...
We ndo uliniquote bibie,acha kiherehere utaliwa kiboga kweupe
Kwaminajili yakibiashara hizo tuzo hazimsaidii chochote kiba coz ni bongo lala.Hii ndo la kile kipindi KANUMBA akijiita KANUMBA THE GREAT,REY nae anajiita REY THE GREATEST kikubwa tu ajifanye yuko juu kumbe anasafiria nyota ya mwenzie.Sasa yako wapi.
.