Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Mimi niwe muwazi, sina shida na tuzo za Ali, ila KTMA kosa dogo walilolifanya ni kutoa tuzo ya mtumbuizaji bora kwa Ali. Watu wanaweza kuhisi kuwa Ali kabebwa lakini ukiangalia kwa mbali ni kama wamemhujumu Ali kwa kumpa tuzo hii.

Ni kupoteza sifa na ubora wa tuzo kwa kufanya maamuzi ambayo hata wewe mfanyaji unakosa ground. Anaweza akapandishwa kwa muda mfupi lakini umma unaweza ukachukia kwa muda mrefu.

Nilikaa Uganda kwa muda, nakumbuka kulikuwa na mchuano mkali kati ya Chameleon na Babe Cool, media zilimpandisha babecool kama jitihada za kumshusha Chameleon. Lakini tofauti na wenzetu, wao matumizi ya akili huweka mbele sana, walikataa baadhi ya mambo kama huu upuuzi uliofanywa hapa openly.

Anyway, nchi yenyewe wasomi tupo wachache just 3% na manunda, mbumbumbu yaliyokimbia shule ndo yametangulia kwenye entertainment industry na michezo ndo maana hatuendelei.

sio michezo na entairnment tu,akili ndogo zinaongoza akili kubwa tz katika kila sekta bongo afya,kilimo,siasa elimU, n.k
 
Kura hampigi mnalalamika, nyie ndio mgombea wenu wa urais atashindwa halafu mtalalamika Kuwa mmeibiwa Kura Wakati kura hampigi.
 
Ali kiba aibu mwakani bse alibahatisha mwaka huu alafu team kiba na team wema wote wakawa wanampigia kura..eti kumkomoa diamond..
 
junior252 Ulimpigia kura bro au unalaumu tu??ni kura ndo zinadetermine mshindi na sio maneno
 
Last edited by a moderator:
Mashabiki wa domo bana sijui wamekula maharage ya wapi
 
Diamond naye alibebwa tuzo ya kwanza nikaona upuuzi nikalala,nillijua ataendelea kubebwa tena kumbe mmeumizwa?!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wanaosema Fid kaonewa
Fid katoa nyimbo gani zilizohit?
Hiyo bongo hiphop video kama katengenezea bafuni.
Joh kafanya kazi kubwa sana Fid tatizo anajiona anajua ila mashabiki mwisho wa siku ndio wasikilizaji anatakiwa atunge kile ambacho sisi tukisikiliza tutampa yeye sapoti. Mtu hata show sijawahi sikia anatangaza sasa kwa nini ashinde hii tuzo

Huyo Joh makini ipi mpya?alizoshindia mwaka Jana ndo hizo hizo za Jana ameshinda!Acheni Utani Bwana!!!!
 
Hata mwenda wazimu huwezi kumwaminisha kuwa wimbo wa " mwana" ulikuwa bora kuliko " nani kama mama?" wa Bella

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Bella na alivyokuwa juu last year amekosa tuzo.

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa Yamotoband walivyokuwa juu na nyimbo kibao eti wa tuzo moja!!

Hata mjinga huwezi kumwaminisha kuwa mchezaji wa ligi ya mchangani ( alikiba)ni mchezaji bora kuliko mchezaji wa timu kubwa Afrika (diamond) ambaye afrika nzima inamuweka katika nominees za msaanii bora afrika nzima wakiwa watano pekee huku na yeye akiwemo

Eti mtu kama huyo..ambaye kila tuzo inayotolewa afrika iwe mtv mama,bet na zinginezo lazima wamweke kwenye kipengele cha msanii bora wa kiume afrika...etikwa nchi maandazi tanzania kuna kibaka ambaye hata dimpozi na sheta wanafahamika afrika kuliko yeye..eti ndo bora!! ovyoooooooo....


Na ka style hii ya vibovu kuonekana bora usishangae Lowasa ndo akawa raisi...kwa sababu hii nchi naona ovyoo tu na haina mbele wa nyuma!!


Ovyoooooooooo!!!!

Ovyoooo mwenyewe
 
Back
Top Bottom