Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Maneno ya kujifariji tu hayo asiye kubali kushindwa si mshindani. Mwaka Jana ndo ilikua haki si mlisema hamtaki tuzo za ki local.
Naona Tamko LA lemutuz ndo linawapa nguvu. Tuzo zimeshaenda hazirudi tena acheni kulalamika kila kitu mnakilalamia.
Hayo mengine ni maneno ya mkosaji tumeyazoea sana nchi hii.
 
Hahaha unatamani iwe uongo eh! anyway yamepita hayo kikubwa ukweli umejulikana hapa ndio pa kuanzia kuujenga muziki wetu.

Kama wananchi ndio waliomchagua kiba? Sasa hayo makosa yalitokea wapi? Tunaelekea kuchanganyikiwa sasa
 

Acha kutafta sababu simple umejuaje kuwa watanzania hutafta sababu ya kumshusha mtu akiwa top. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa what the hell is kushushwa😱😱
Yani unatafta sababu eti kiba anatumia bifu really:what::what: msijidanganye ka kiba alitumia bifu kurudi kwanini domo asitumie hlo bifu kuchukia tuzo.
Kaeni chini na msanii wenu muangalie mlipoteleza sio kusingizia Watanzania kwa failure ya mtu na mambo yako. Sio visababu vya kijinga eti bifu anaonewa wivu anataka kushushwa.
 
Du! Kwa iyo wamesema iyo tuzo ilimstahili nani vile?
 
Jamani hiyo account ni fake sio kweli.hivi nyie wenyewe hamuoni hata uandishi wake fake tu etiii DAH yaani kiudaku kabisa.me sio team kiba wala mond
 

Nae anakula makombo kwa boss lady
 

Kula like laki nane
 
Na Kakosaa Tuuu.... Ehhhhh.... Mana Hakuna Namna Nyinginel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…