Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Maneno ya kujifariji tu hayo asiye kubali kushindwa si mshindani. Mwaka Jana ndo ilikua haki si mlisema hamtaki tuzo za ki local.
Naona Tamko LA lemutuz ndo linawapa nguvu. Tuzo zimeshaenda hazirudi tena acheni kulalamika kila kitu mnakilalamia.
Hayo mengine ni maneno ya mkosaji tumeyazoea sana nchi hii.
 
Hahaha unatamani iwe uongo eh! anyway yamepita hayo kikubwa ukweli umejulikana hapa ndio pa kuanzia kuujenga muziki wetu.

Kama wananchi ndio waliomchagua kiba? Sasa hayo makosa yalitokea wapi? Tunaelekea kuchanganyikiwa sasa
 
Wewe ndio hujui impact ya diamond kwenye mafanikio ya Kiba but yeye anajua na hata ukisema wapatane leo atasita kwa maana bifu linamtoa zaidi..

Namkubali Kiba tangu enzi na enzi na sina timu kwenye muziki bali nasimamia ninachokiona. Lakini namkumbusha tu Watz siku zote ukiwa juu wanakutafutia sababu ushuke ndio mana hatufiki mbali..

Acha kutafta sababu simple umejuaje kuwa watanzania hutafta sababu ya kumshusha mtu akiwa top. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa what the hell is kushushwa😱😱
Yani unatafta sababu eti kiba anatumia bifu really:what::what: msijidanganye ka kiba alitumia bifu kurudi kwanini domo asitumie hlo bifu kuchukia tuzo.
Kaeni chini na msanii wenu muangalie mlipoteleza sio kusingizia Watanzania kwa failure ya mtu na mambo yako. Sio visababu vya kijinga eti bifu anaonewa wivu anataka kushushwa.
 
Jamani hiyo account ni fake sio kweli.hivi nyie wenyewe hamuoni hata uandishi wake fake tu etiii DAH yaani kiudaku kabisa.me sio team kiba wala mond
 
Diamond hivi karibuni alitoa kauli kuwa "Ali Kiba anakula makombo yake" akimaanisha uhusiano wa Ali Kiba na Jokate Mwegelo eti Jokate ni makombo ya Diamond!

Hilo ni tusi na alipaswa kuomba radhi na kuonyesha kujutia kauli yake hiyo! Hivi mtu na akili yake timamu tena kioo cha jamii kwenye nchi ya maadili unatoa kauli kama hiyo?

Hamuwezi amini lakini hata hizo tuzo mbili ilikuwa ni kumhurumia tu kwani hakustahili! Ni lazima afunzwe adabu!

Tukianza kutoa lugha chafu kama hizo hatujengani kisanii! Jokate naye ni msanii na hapaswi kudhalilishwa na mwanaume kisa eti alimpa penzi!

Hapana huyu ni lazima ajirudi na ajuwe kuwa yeye ni kioo cha kujenga jamii na siyo kuibomoa! Nadhani hilo ni onyo kali kwake!

Nae anakula makombo kwa boss lady
 
Acha kutafta sababu simple umejuaje kuwa watanzania hutafta sababu ya kumshusha mtu akiwa top. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa what the hell is kushushwa😱😱
Yani unatafta sababu eti kiba anatumia bifu really:what::what: msijidanganye ka kiba alitumia bifu kurudi kwanini domo asitumie hlo bifu kuchukia tuzo.
Kaeni chini na msanii wenu muangalie mlipoteleza sio kusingizia Watanzania kwa failure ya mtu na mambo yako. Sio visababu vya kijinga eti bifu anaonewa wivu anataka kushushwa.

Kula like laki nane
 
Back
Top Bottom