Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Tunzo za mwaka huu zitavunja record kwa kuto hudhuriwa na wasanii wengi na wengi wao watatuma wawakilishi!

Natamani hata KILL na Basata waachane na hizi tunzo maana watu wamezidi maneno ili tuone hizo tunzo ambazo zimekamilika....
 
Le Mutuzi ni bonge la kubwa jinga sijui lokoje,yaani miaka 30 ulaya halijawa civilized kabisa.Kila kitu yeye ni kimbele mbele tu

Alafu siku tukitaka ushahidi na hicho anachoita FACT WITH EVIDENCE ni full chenga. mara ohh! Ntatoa kwa wakati "Sijakamilisha ushahidi"
 
Tunzo za mwaka huu zitavunja record kwa kuto hudhuriwa na wasanii wengi na wengi wao watatuma wawakilishi!

Natamani hata KILL na Basata waachane na hizi tunzo maana watu wamezidi maneno ili tuone hizo tunzo ambazo zimekamilika....

Kiukweli tuzo za mwaka huu zitakua balaa.Hata mimi nina pressure hapa ya hatariiii...lol
Kuhusu wasanii kuna mmoja nahisi hatohudhuria.
 
Lile zee linang'ang'ania BASATA ndio wanaohujumu tuzo ili wamkomoe Diamond. Yule anatumiwa na habari zake ninazo zote, kama anajiamini alete hayo matamkoz yake huku aone.

Kinacho nishangaza zaidi ni kuonekana kuwa watu fulani wasipo pewa tunzo basi tunzo haziko fair...nilisha sema amabye anajua mwaka ambao hakuwa na malalamiko ukitoa mwaka wa 20% aseme hapa! Mimi nafikiri ni wakati wa mtu ambaye hataki hizi tunzo na anaona za kijinga hajitoe kabisa na aseme wazi!
 
Hapa naombea tu hawa tanesco wasije kukata umeme maana mhhhh!!!
 
Kiukweli tuzo za mwaka huu zitakua balaa.Hata mimi nina pressure hapa ya hatariiii...lol
Kuhusu wasanii kuna mmoja nahisi hatohudhuria.
Hivi Kiba ameshatoka kwa Obama?
 
+Mtoa mada nimependa uandishi wako yaani leo Chibu umemtaja vizuri kabisa badala "ndomo" kama ilivyozoeleka.

+ok tupo pamoja tunasubiri live update!
 
Ikitokea mambo yakaenda ndivyo sivyo kutakuwa na mtafutano humu ndani balaa.Maana kuna miungu watu fulani wanaLIPIZA VISASI.

Mkuu hebu wataje hao miungu watu wanao lipiza kisasi na twambie kwa nini?
 
Kiukweli tuzo za mwaka huu zitakua balaa.Hata mimi nina pressure hapa ya hatariiii...lol
Kuhusu wasanii kuna mmoja nahisi hatohudhuria.

Jambo hilo linasababishwa na kinachoitwa TEAM!!!!!
 
nifah hebu tafuta category zote na washindani uziweke hapo juu...
 
Last edited by a moderator:
Navyojua wiki hii kapiga sana simu na kwenda live kumuona Kavishe ili tu apewe kadi,le tumboz bwana

hahaha nilitegemea angekuwa wa kwanza kususia mualiko huo!

Unatakiwa kuwa na ubongo special kufanya vitendo anavyo vifanya...

Unafiki wake ni wa ngazi ya shahada...
 
Hukuu kwenye live streaming wamesema kuanzia SAA 1 watakua live ilaaa nashangaaa mpaka sasa hawajaa anzaaa
 

Attachments

  • 1434211598051.jpg
    1434211598051.jpg
    28.1 KB · Views: 740
Back
Top Bottom