Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hongera my brother Joh Makini.
Keep it up joh
 
Mwaka huu Joh katoa nyimbo nyingi na nzuri sana. Fid alitulia kiasi japo ni mzuri sana
 
Kwa mtazamo wangu naona kiba na diamond wametoka suluhu kwa sababu huyu aliyeshinda video bora sidhani kama kuwa na video bora ndo kuimba nyimbo bora...miaka ya nyuma nyimbo ya mikasi ilikuwa nzuri sana ila video yake haikuwa nzuri hata kidgo...kwa hiyo kushinda video siyo kujua kutunga mistari mizuri...
 
Huyu miss Tanzania ni mja mwepesi nini hicho tumbo ataendaje kuwakilisha miss World.
 
miss Tanzania ana nyama uzembe ya tumbo,utafikiri alishaonja labour
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…