Naskia ni mchele mchele
sauti sol hapa
hivii na wao huko Kenya Hua wanatupa tuzo eti au nimesahau
mzee yusuph acha ushoga, mipasho ya nini chukua tuzo usepe kenge we
Natumaini washindi watatuonyesha ni washindi kwa kikazi pia.
Sio tuzo kukaa kujaa vumbi na kukopa wanakopa, kufanganya wanasafiri first class kwa kuomba wapige picha, kujidai wakati wanajijua hawana kitu.
Tunasubiria kuona kazi zao wakionyesha wamestahili wanayotozwa.
Mwisho wa siku sio tuzo ni maisha na kazi na PESA unaingiza.
Team zimeharibu tuzo.
Bora nikalale zangu maana hawa wajinga wananipotezea Bando langu
Majumba, mandinga, usmart anaotinga bwana Almas, Je hizi track za harakati ni ujinga?
mzee yusuph acha ushoga, mipasho ya nini chukua tuzo usepe kenge we
hivii na wao huko Kenya Hua wanatupa tuzo eti au nimesahau