Mwanamke huna jema weye loh kila kitu kibaya tu kwako. Loh let encourage our artists.
una jicho la mwewe mkuu
Tunzo ya mtunzi bora ni bongofleva...
Ni barnaba hizi timu zina haribu muziki!
Joh hakustahili,
Nimesema tu,hakuna jinsi .
Lile li wimbo la mfalme ,mtunzi wake hajapata???
Tunzo ya mtunzi bora ni bongofleva...
Ni barnaba hizi timu zina haribu muziki!
Mi naumia Christian Bella kukosa tuzo nimeudhika hapaaaa
Oyooooooooooooooooo! Habari wanazoooo!
Waimbaji wanatoswa wanapewa matahira.. Kiba na Diamond hawakustahili hata kuingia kwenye hiyo category
Upumbavu mtupu.. Kura zinapigwa kishabiki mno.
Bella kanyimwa na Barnaba nae kanyimwa live live
Hapana, nguvu ya mamba ni maji
Mwanamke huna jema weye loh kila kitu kibaya tu kwako. Loh let encourage our artists.
Mi naumia Christian Bella kukosa tuzo nimeudhika hapaaaa
Christian anaimba kwa masikitiko kishenzi..
Jamaa wamemnyima tuzo wakati wimbo ulikuwa katika standard kubwa sana..
Well, 'ni matatizo ya dunia'....:becky::becky: