Baba yake....Hahahahaaa
Hapa mama alichepuka kwakweli!
Joh makini anashindaje hizi Tuzo??!!?
Wanaosema Fid kaonewa
Fid katoa nyimbo gani zilizohit?
Hiyo bongo hiphop video kama katengenezea bafuni.
Joh kafanya kazi kubwa sana Fid tatizo anajiona anajua ila mashabiki mwisho wa siku ndio wasikilizaji anatakiwa atunge kile ambacho sisi tukisikiliza tutampa yeye sapoti. Mtu hata show sijawahi sikia anatangaza sasa kwa nini ashinde hii tuzo
wanadhalaulisha hip hop
Una jua sisi tupo jamvini kila siku tuna bishana but ukweli ni kua hizi team diamond na team kiba zina nguvu sana huku nje. mpaka wadau wakubwa wa muziki wana pata hofu ya kuto ikwaza team yoyote kati ya hizi.Hata mi nimefikiria ka wewe.
wanadhalaulisha hip hop