Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

utajiju na wivu korosho wa kulala bila kufanya kazi

********************

Kupiga kura Diamond Platnumz kategori 3, vanessa 1 ingia kwa link

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************

Kazi nafanya na sina uvivu wa korosho. Mvivu wewe na bosi wako. Wewe unashabikia msanii anayejifia na bosi wako anashabikia mimba ya KATUNZI.

HATUBONYEZI NARUDIA TENA HATUBONYEZI
 
vanesaaaaaaa, hapa wametenda haki aisee, sio tabia ya kumpa Jide kilamwaka hata kama hana wimbo
 
Huyu Barnaba kanyimwa tu kaishia kushika sketi ya mtu. Ila kapongezwa kuwa ni mtunzi bora
 
Ukweli tu ndugu yangu, nipo poa kabisa happy sana na alizopata amestahili na haina matata mpigakazi wetu huyooooo

Hahahaha wao ndio inawauma ndio maana wanawafata mpaka MTV.. Kazeni buti safari ya mafanikio ina mengi
 
Back
Top Bottom