Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hii vita ya mashabiki ni nzuri Sana,


Team dangote fanyeni kweli kwenye MTVmama
 
Huyo Vanessa nguo anavaa kama amelazimishwa matiti nje nje huku kila Mara anazibaziba si bora yadondoke kama anaona ni sifa kuonesha matiti.

Hapo sasa....
 
Duh le mutuz ulisema

haya kushinda kwa come back na mwimbo mmoja tuone basi atakazotoa maana na huko usa kumedoda pesa ya video ya cheketua haiji alivyozani....

Usiku mwema


wasaniii masikini watabaki kuwa masikini kama hawafanyi kazi.

Teh teh teh Mtoto mzuri nije kukubembeleza au??
 
Bora niangalie Copa America tu.
Hawa washaanza zingua sasa yaani KTMA yangu ya kwanza kuangalia nayo inazingua hivi.
Diamond usishiriki tena

Koh koh kok
Team local musician.
Mara ooh sitaki tuzo mara mnampigia kura...
Mara oooh
 
Christian Bella apewe hata moja kajitahidi mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…