Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Tunasubiri mtv base kimataifa zaidi.
Nyokolost nipisheeeeeeeeee nikampe mtu haki yakeeeee
Nyooooooooooo zenuuuuu
Mtangoja sana.
Mark my words akipata nakunya zenj mpaka mbeya kyela....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubiri mtv base kimataifa zaidi.
hahaha this is too much, Alikiba mtumbuizaji bora over Diamond?
Mkuu kwa Tanzania usishangae kabisa
Hiki kivazi Vanesa anajishushia heshima kama hajui
Hizo tuzo ni ujinga mtupu.
Ukwaju na malimao yanawahusu in (Gwajimaz voice).
G.nako ndio anajua kuimba hapo kuliko wote..
watu wamepiga kura kwa kukomoa ila kizuri cha jiuza kibaya chajitangaza kama mlivo mtangaza kila page ushuz zenu mmebana home kwa fitna za ushabiki ushuz mola ka mfungulia nje kila la heri dangote mapimbi endelezeni visasi vya kura za kukomoa kwa kukumbatia miziki mibovu kisa ushabiki mandazi na team ushuzi zenu ukweli utajulikana nani atatoboa kimataifa.
watu wamepiga kura kwa kukomoa ila kizuri cha jiuza kibaya chajitangaza kama mlivo mtangaza kila page ushuz zenu mmebana home kwa fitna za ushabiki ushuz mola ka mfungulia nje kila la heri dangote mapimbi endelezeni visasi vya kura za kukomoa kwa kukumbatia miziki mibovu kisa ushabiki mandazi na team ushuzi zenu ukweli utajulikana nani atatoboa kimataifa.
Ni kwa nini inakuwa ovee Diamond kila wakati?..Kwa nini haumtaji Christian Bella?...Kwa nini usimtaje Mzee Yusuf?...Kwa nini usimtaje Nyoshi El-Sadat?...
Ama utumbuizaji ni kwenye Bongo Flavor tu?...
Nadhani badala ya kulalama ni kujiuliza vigezo vilivyotumika kupata washindi...Ili mtu ashinde KTMA anapaswa ba kura nyingi....Na kura zinapigwa na watanzania na kuratibiwa na hao Auditax.....
Mwaka jana Diamond alishinda bado malalamiko yalikuwepo mkuu...