Msolopagaz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2014
- 461
- 212
Watz hatupendan hata kidgo.....unakumbuka marehem kanumba alishawahi kupondwa bila 7bu wakat ndo aliyekua anatuwakilisha kimataifa.
kama hii nchi imefikia mpaka huku na watu wanaona sawa tu, then we should forget about development!!
...I can't blv kiba n mtumbuizaj bora over diamond !!!
...not true, na dhambi ya unafiki ni mbaya sana!
...tujaribu kuwa na hofu ya Mungu kidgo, haki itendeke! Na kwenye ukweli tuseme tu ukweli.
Kwa akili ndogo hiz za hawa mburullaz (in le mutuz voice) ukiwauliza kwann wanamdis diamond hawatakupa jibu, asa diamond kakosa tuzo, fyn, then ww unafaidika na nin ??
Am sure hatuez kuendeleza mzk wetu kwa style hii......tujifunze kwa wenzetu wanaija wanavosapotiana, that's why ukiwahesabu waliotok kwa africa wanafika zaid ya 20, lakin cc kna mtu mmoja tu anatuwakilisha mpk nje still tunztak kumvunja moyo na kumshusha!
....ili iweje labda???
Wenye akili kubwa watakuwa wamenielewa.
kama hii nchi imefikia mpaka huku na watu wanaona sawa tu, then we should forget about development!!
...I can't blv kiba n mtumbuizaj bora over diamond !!!
...not true, na dhambi ya unafiki ni mbaya sana!
...tujaribu kuwa na hofu ya Mungu kidgo, haki itendeke! Na kwenye ukweli tuseme tu ukweli.
Kwa akili ndogo hiz za hawa mburullaz (in le mutuz voice) ukiwauliza kwann wanamdis diamond hawatakupa jibu, asa diamond kakosa tuzo, fyn, then ww unafaidika na nin ??
Am sure hatuez kuendeleza mzk wetu kwa style hii......tujifunze kwa wenzetu wanaija wanavosapotiana, that's why ukiwahesabu waliotok kwa africa wanafika zaid ya 20, lakin cc kna mtu mmoja tu anatuwakilisha mpk nje still tunztak kumvunja moyo na kumshusha!
....ili iweje labda???
Wenye akili kubwa watakuwa wamenielewa.
Yaani nimefurahi hatari
Wamezngua tyu hakuna lolote
Jamani ngoshaaaa.....!!!!
Sasa unajichanganya mwenyewe.ohhh wanaija wanasapotiana mbona tukimsapoti kiba unapiga kelele??? Christian bella ni mwanamuziki mkali kuliko huyo mondi na anajua kutawala jukwaa lakini mashabiki wamemchagua kiba, ye mondi nani mpaka iwe lazima kupewa??? Tunamvunjaje moyo mbona mwaka jana alizoa nyingi tu na mlikuwa hamlalamiki wasanii.wakali wengine kukosa? Acheni chuki zenu, sitaki nataka, ye mondi aende nje atapigiwa kura huko ambako hatalambisha mashabiki wake ndimu,sisi kwetu ndimu chungu bana.
Vua bikini kwanza utoe dukuduku lakoHii tabia ya kumchukia mtu aliyefanikiwa na kutaka ashuke cjui watz wanaitoaga wap....ni wivu au kitu gan.
Hiv katika suala la tuzo unapiga kura kwa ajil ya ushabik au timu flan kwel
Asa hawa ndio kiba kapata, na diamond kakosa, then mnafaidika nin?
Nakuhakikishia mkuu kwa hali hii hatuji kupata wasanii wa kimataifa hata watano.
Hivi msanii wa bongoflava anakuwaje mtumbuizaji bora wakati show zao zote wanatumia playback hapa kwangu mnawapotosha Ali kiba na diamond kwamba ni watumbuizaji bora bora kina bela au nyoshi
Sasa unajichanganya mwenyewe.ohhh wanaija wanasapotiana mbona tukimsapoti kiba unapiga kelele??? Christian bella ni mwanamuziki mkali kuliko huyo mondi na anajua kutawala jukwaa lakini mashabiki wamemchagua kiba, ye mondi nani mpaka iwe lazima kupewa??? Tunamvunjaje moyo mbona mwaka jana alizoa nyingi tu na mlikuwa hamlalamiki wasanii.wakali wengine kukosa? Acheni chuki zenu, sitaki nataka, ye mondi aende nje atapigiwa kura huko ambako hatalambisha mashabiki wake ndimu,sisi kwetu ndimu chungu bana.
mkuu inabidi ukubali.
Fid alitoa wimbo mmoja Joh alikuwa na nyimbo nyingi sana ambazo ziliwafikia watu wengi. Pia alikuwa na show zakutosha
hapo kweli wameonewa ila ni wapiga kura wenyewe waliendekeza bifu zaidi
haaah kweli wewe umefurahia sana leo hii hakika unatamani iwe kila mwaka
Usiku mwema na hongera wewe na timu zako. Sisi ngoja tukalale kwa machungu