Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Ila Tz acha nchi za jirani watudharau. Yyyesss we deserve it. Professor Muhongo na utendaji wake mzuri ulioleta mabadiliko wizara ya nishati. Wabongo wakakomaaa atolewe, akatolewa .Umeme vimigao uchwara kibao, kumbe ndo tunavotaka.

Kanumba alikuwa ICON wa movie na ndo alifanya zionekane zina thamani, lakini wakaanza kumletea usnitch. Mungu akamchukua kabla hayajamkuta kama ya DIAMOND.

Sasa DIAMOND kazi ishaanza... Ila acha wanasiasa watutafune mpaka tone la mwisho.. We really deserve. Baadhi ya Watanzania ni vilaza (sio wote).
 
Jamani tupunguze mihemuko na personal emotion zetu na tuangalie vigezo na masharti

Inaonekana vigezo pekee vilivyo tumika ni kura na si vinginevyo
Kwa manti hiyo Alikiba anaweza kabis kushinda hizo tuzo dhidi ya wenzako

Upigaji kura hauangalii unajua muziki kiasi gani wala unakubalika kiasi gani
Upigaji kura unaangalia umepata kura ngapi period
Na majority takes it all

Hongera Ali Kiba
 
Watz hatupendan hata kidgo.....unakumbuka marehem kanumba alishawahi kupondwa bila 7bu wakat ndo aliyekua anatuwakilisha kimataifa.

Hii tabia ya kumchukia mtu aliyefanikiwa na kutaka ashuke cjui watz wanaitoaga wap....ni wivu au kitu gan.

Hiv katika suala la tuzo unapiga kura kwa ajil ya ushabik au timu flan kwel

Asa hawa ndio kiba kapata, na diamond kakosa, then mnafaidika nin?

Nakuhakikishia mkuu kwa hali hii hatuji kupata wasanii wa kimataifa hata watano.
 
Hivi msanii wa bongoflava anakuwaje mtumbuizaji bora wakati show zao zote wanatumia playback hapa kwangu mnawapotosha Ali kiba na diamond kwamba ni watumbuizaji bora bora kina bela au nyoshi
 
kama hii nchi imefikia mpaka huku na watu wanaona sawa tu, then we should forget about development!!
...I can't blv kiba n mtumbuizaj bora over diamond !!!
...not true, na dhambi ya unafiki ni mbaya sana!
...tujaribu kuwa na hofu ya Mungu kidgo, haki itendeke! Na kwenye ukweli tuseme tu ukweli.

Kwa akili ndogo hiz za hawa mburullaz (in le mutuz voice) ukiwauliza kwann wanamdis diamond hawatakupa jibu, asa diamond kakosa tuzo, fyn, then ww unafaidika na nin ??

Am sure hatuez kuendeleza mzk wetu kwa style hii......tujifunze kwa wenzetu wanaija wanavosapotiana, that's why ukiwahesabu waliotok kwa africa wanafika zaid ya 20, lakin cc kna mtu mmoja tu anatuwakilisha mpk nje still tunztak kumvunja moyo na kumshusha!
....ili iweje labda???

Wenye akili kubwa watakuwa wamenielewa.

Sasa unajichanganya mwenyewe.ohhh wanaija wanasapotiana mbona tukimsapoti kiba unapiga kelele??? Christian bella ni mwanamuziki mkali kuliko huyo mondi na anajua kutawala jukwaa lakini mashabiki wamemchagua kiba, ye mondi nani mpaka iwe lazima kupewa??? Tunamvunjaje moyo mbona mwaka jana alizoa nyingi tu na mlikuwa hamlalamiki wasanii.wakali wengine kukosa? Acheni chuki zenu, sitaki nataka, ye mondi aende nje atapigiwa kura huko ambako hatalambisha mashabiki wake ndimu,sisi kwetu ndimu chungu bana.
 
kama hii nchi imefikia mpaka huku na watu wanaona sawa tu, then we should forget about development!!
...I can't blv kiba n mtumbuizaj bora over diamond !!!
...not true, na dhambi ya unafiki ni mbaya sana!
...tujaribu kuwa na hofu ya Mungu kidgo, haki itendeke! Na kwenye ukweli tuseme tu ukweli.

Kwa akili ndogo hiz za hawa mburullaz (in le mutuz voice) ukiwauliza kwann wanamdis diamond hawatakupa jibu, asa diamond kakosa tuzo, fyn, then ww unafaidika na nin ??

Am sure hatuez kuendeleza mzk wetu kwa style hii......tujifunze kwa wenzetu wanaija wanavosapotiana, that's why ukiwahesabu waliotok kwa africa wanafika zaid ya 20, lakin cc kna mtu mmoja tu anatuwakilisha mpk nje still tunztak kumvunja moyo na kumshusha!
....ili iweje labda???

Wenye akili kubwa watakuwa wamenielewa.

lala tu ndo ishakua hata ukilia haitasaidia cha kufanya kunywa tu maji ulale
 
mzurimie

Kwa mtindo huu wa kushabikia timu falni na flani si ajabu hata huyo dogo ndio iwe tuzo yake ya kwanza na ya mwisho.. Kumpa tuzo msanii kuna mmotivate kuongeza juhudi zaidi na kutoa kazi nzuri kwa fans wake. Lakini haya mambo ya timu mimi siwaonei huruma akina Ali Kiba au Diamond bali hawa wadogo wanaochipukia..

Watanzania ukishawapandikizia kitu kichwani mpaka waje kubadilika inahitaji nguvu ya kipekee.. Si ajabu mwakani yakatokea haya haya kama ya mwaka huu au mwaka jana na ambao walideserve kupata baadhi ya hizo tuzo kukatishwa tamaa. Tusiongelee mwaka huu tu, hata mwaka jana kuna baadhi ya tuzo Diamond hakustahili pia.

Kuhusu kura, niseme ukweli tu wala sitapiga na sijawahi kupigaga kura kwenye hivi vitu.. Sababu moja kubwa ni kwamba hakuna reality. Watu kumi wakipiga kura kumi kila mmoja na mmoja akipiga kura 101, yule mmoja tayari anakuwa mshindi. Hicho ndicho kinanifanya nisishiriki kwenye haya mambo ya kupiga kura. Kwahiyo hata huyo Diamond huko MTV sitapiga.. Ninachomkubali Diamond ni mchapakazi na ana juhudi za kipekee..

 
Last edited by a moderator:
Mashabiki wa diamond mavi yanagonga chupi prrrrr
 
Sasa unajichanganya mwenyewe.ohhh wanaija wanasapotiana mbona tukimsapoti kiba unapiga kelele??? Christian bella ni mwanamuziki mkali kuliko huyo mondi na anajua kutawala jukwaa lakini mashabiki wamemchagua kiba, ye mondi nani mpaka iwe lazima kupewa??? Tunamvunjaje moyo mbona mwaka jana alizoa nyingi tu na mlikuwa hamlalamiki wasanii.wakali wengine kukosa? Acheni chuki zenu, sitaki nataka, ye mondi aende nje atapigiwa kura huko ambako hatalambisha mashabiki wake ndimu,sisi kwetu ndimu chungu bana.

Naona mavi yakugonga kwenye bikini
 
Hii tabia ya kumchukia mtu aliyefanikiwa na kutaka ashuke cjui watz wanaitoaga wap....ni wivu au kitu gan.

Hiv katika suala la tuzo unapiga kura kwa ajil ya ushabik au timu flan kwel

Asa hawa ndio kiba kapata, na diamond kakosa, then mnafaidika nin?

Nakuhakikishia mkuu kwa hali hii hatuji kupata wasanii wa kimataifa hata watano.
Vua bikini kwanza utoe dukuduku lako
 
Hivi msanii wa bongoflava anakuwaje mtumbuizaji bora wakati show zao zote wanatumia playback hapa kwangu mnawapotosha Ali kiba na diamond kwamba ni watumbuizaji bora bora kina bela au nyoshi

Hapo kwa Bella mi ndo nimevurugwa.
 
Sasa unajichanganya mwenyewe.ohhh wanaija wanasapotiana mbona tukimsapoti kiba unapiga kelele??? Christian bella ni mwanamuziki mkali kuliko huyo mondi na anajua kutawala jukwaa lakini mashabiki wamemchagua kiba, ye mondi nani mpaka iwe lazima kupewa??? Tunamvunjaje moyo mbona mwaka jana alizoa nyingi tu na mlikuwa hamlalamiki wasanii.wakali wengine kukosa? Acheni chuki zenu, sitaki nataka, ye mondi aende nje atapigiwa kura huko ambako hatalambisha mashabiki wake ndimu,sisi kwetu ndimu chungu bana.

Umekurupuka asee, nasema wanaija I mean wanamziki, halafu kwann ww umchukie diamond na ufurahie akikosa tuzo, unafaidika na nini ??

halafu nnavojua diamond yupo kwa category ya best male in Africa wapo wasanii watano tu and he is among of them, unahis ni kwann amewekwa pale ??
 
Hongereni washindi

Pole sana Christian bella siamini kama wimbo wako wa nani kama mama umetoka kapa kabisa aisee SIAMINI...
 
mkuu inabidi ukubali.
Fid alitoa wimbo mmoja Joh alikuwa na nyimbo nyingi sana ambazo ziliwafikia watu wengi. Pia alikuwa na show zakutosha




hapo kweli wameonewa ila ni wapiga kura wenyewe waliendekeza bifu zaidi



haaah kweli wewe umefurahia sana leo hii hakika unatamani iwe kila mwaka




Usiku mwema na hongera wewe na timu zako. Sisi ngoja tukalale kwa machungu

Well spoken jamaa kama hakubali ana mtindio wa ubongo
 
Msolopagaz Acha matusi wewe...

Yaani Diamond kushindwa ndio uwaite watanzania vilaza??? Diamond ameshindwa kwa sababu kura hazikutosha...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom