Hii tabia ya kumchukia mtu aliyefanikiwa na kutaka ashuke cjui watz wanaitoaga wap....ni wivu au kitu gan.
Hiv katika suala la tuzo unapiga kura kwa ajil ya ushabik au timu flan kwel
Asa hawa ndio kiba kapata, na diamond kakosa, then mnafaidika nin?
Nakuhakikishia mkuu kwa hali hii hatuji kupata wasanii wa kimataifa hata watano.
Hivi Ya Moto band jamani mbona sijawasikia kabisas, is it fair?
lala tu ndo ishakua hata ukilia haitasaidia cha kufanya kunywa tu maji ulale
Hakustahili , huyu wala haniumi.
Kwamba Diamond anatawala jukwaa kuliko Nyoshi El - Saadat ama Christian Bella!!....Nooo....Noti raiti
Kama sio mahaba maandazi, then you must be joking aisee...
Naona mavi yakugonga kwenye bikini
Vua bikini kwanza utoe dukuduku lako
Dah.....Kumbe kubinua tako ndo kutumbuiza....Haya ChifuIla broda rememba diamond anabinua ta...ko stejini
Watanzania wengi wana MTINDIO WA UBONGO(WIVU,MAJUNGU,UVIVU,VISASI,UMBEA n.k...).Acha matusi wewe...
Yaani Diamond kushindwa ndio uwaite watanzania vilaza???
Diamond ameshindwa kwa sababu kura hazikutosha...
Dah.....Kumbe kubinua tako ndo kutumbuiza....Haya Chifu
Ni kwa neema tu,siyo kwa uwezo wake
Nawewe ni mwanaume??????
Watu gani nyie msioridhika??? Mwaka jana si tuliwapa? Kwani mondi ni msanii pekee tanzania? Kufanya makolabo na wanigeria si kigezo cha kupata kura nyingi, na kuwa msanii wa kimataifa haimaanishi lazima unyakue tuzo nyingi nyumbani. Watu tumepiga kura sababu mwana imetukosha so mutuwacheeee.
Tuzo zimeamuliwa kwa idadi ya kura kwahio tusihoji kwanini nani kapewa halafu nani hajapewa..jibu ni very simple kura ndio zmeamua hivyo.
Jamani ngoshaaaa.....!!!!
Umekurupuka asee, nasema wanaija I mean wanamziki, halafu kwann ww umchukie diamond na ufurahie akikosa tuzo, unafaidika na nini ??
halafu nnavojua diamond yupo kwa category ya best male in Africa wapo wasanii watano tu and he is among of them, unahis ni kwann amewekwa pale ??
Kwaminajili yakibiashara hizo tuzo hazimsaidii chochote kiba coz ni bongo lala.Hii ndo la kile kipindi KANUMBA akijiita KANUMBA THE GREAT,REY nae anajiita REY THE GREATEST kikubwa tu ajifanye yuko juu kumbe anasafiria nyota ya mwenzie.Sasa yako wapi.Watu gani nyie msioridhika??? Mwaka jana si tuliwapa? Kwani mondi ni msanii pekee tanzania? Kufanya makolabo na wanigeria si kigezo cha kupata kura nyingi, na kuwa msanii wa kimataifa haimaanishi lazima unyakue tuzo nyingi nyumbani. Watu tumepiga kura sababu mwana imetukosha so mutuwacheeee.