Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hii tabia ya kumchukia mtu aliyefanikiwa na kutaka ashuke cjui watz wanaitoaga wap....ni wivu au kitu gan.

Hiv katika suala la tuzo unapiga kura kwa ajil ya ushabik au timu flan kwel

Asa hawa ndio kiba kapata, na diamond kakosa, then mnafaidika nin?

Nakuhakikishia mkuu kwa hali hii hatuji kupata wasanii wa kimataifa hata watano.

Watu gani nyie msioridhika??? Mwaka jana si tuliwapa? Kwani mondi ni msanii pekee tanzania? Kufanya makolabo na wanigeria si kigezo cha kupata kura nyingi, na kuwa msanii wa kimataifa haimaanishi lazima unyakue tuzo nyingi nyumbani. Watu tumepiga kura sababu mwana imetukosha so mutuwacheeee.
 
Mimi narudia tena...hii nchi...alhamdullilah.Kumbe inatufaa tukiwa na wanasiasa MAFISADI....wachukue kila kitu kwani kwa dalili hizi hamna chakusaidiana sisi kama wananchi.
 
Kwamba Diamond anatawala jukwaa kuliko Nyoshi El - Saadat ama Christian Bella!!....Nooo....Noti raiti

Kama sio mahaba maandazi, then you must be joking aisee...

Ila broda rememba diamond anabinua ta...ko stejini
 
Tuzo zimeamuliwa kwa idadi ya kura kwahio tusihoji kwanini nani kapewa halafu nani hajapewa..jibu ni very simple kura ndio zmeamua hivyo.
 
Acha matusi wewe...

Yaani Diamond kushindwa ndio uwaite watanzania vilaza???

Diamond ameshindwa kwa sababu kura hazikutosha...
Watanzania wengi wana MTINDIO WA UBONGO(WIVU,MAJUNGU,UVIVU,VISASI,UMBEA n.k...).
 
Watu gani nyie msioridhika??? Mwaka jana si tuliwapa? Kwani mondi ni msanii pekee tanzania? Kufanya makolabo na wanigeria si kigezo cha kupata kura nyingi, na kuwa msanii wa kimataifa haimaanishi lazima unyakue tuzo nyingi nyumbani. Watu tumepiga kura sababu mwana imetukosha so mutuwacheeee.

Akili ako haitoshi kujibishana na akili yangu, una akil ndogo sana mkuu, sorry for that.
 
Tuzo zimeamuliwa kwa idadi ya kura kwahio tusihoji kwanini nani kapewa halafu nani hajapewa..jibu ni very simple kura ndio zmeamua hivyo.

Sasa leanini msinunue au mmeishiwa chief!
 
Umekurupuka asee, nasema wanaija I mean wanamziki, halafu kwann ww umchukie diamond na ufurahie akikosa tuzo, unafaidika na nini ??

halafu nnavojua diamond yupo kwa category ya best male in Africa wapo wasanii watano tu and he is among of them, unahis ni kwann amewekwa pale ??

Na wewe kwa nini unamchukia kiba?? Ina maana huzisikii nyimbo zake au?? Mbona hamkulalamika walivyokuwa kwenye category moja? Mlifikiri wasanii waliokuwa kwenye hiyo category wamesindikiza?? Swali linarudi kwako unafikiri kwa nini diamond aliwekwa kwen category moja na kiba??
 
Watu gani nyie msioridhika??? Mwaka jana si tuliwapa? Kwani mondi ni msanii pekee tanzania? Kufanya makolabo na wanigeria si kigezo cha kupata kura nyingi, na kuwa msanii wa kimataifa haimaanishi lazima unyakue tuzo nyingi nyumbani. Watu tumepiga kura sababu mwana imetukosha so mutuwacheeee.
Kwaminajili yakibiashara hizo tuzo hazimsaidii chochote kiba coz ni bongo lala.Hii ndo la kile kipindi KANUMBA akijiita KANUMBA THE GREAT,REY nae anajiita REY THE GREATEST kikubwa tu ajifanye yuko juu kumbe anasafiria nyota ya mwenzie.Sasa yako wapi.
.
 
Back
Top Bottom