Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

nifah shoga angu wew ni mbea lol

Hahahahaaa, nitaachaje kuangalia red carpet nilivyo mbea? Hapa nina mafaili ya waliopendeza na waliochemka.
 
Last edited by a moderator:
wale walio nje ya mji naweza pata matangazo ya moja kwa moja kwa kubofya link hapo chini

vuEasy
 
Sisi huku umeme wamechukua zamaniii,,mtuwekee na pichaaa etii
 
Hahahahaaa, nimecheka balaaa..
Wewe nae? Ndio nini kumchamba mwenzio hivyo?

Teh teh teh mtajuaje mi nina kifurushi cha premium.. Kuna uzi uliletwaga humu wa DStv ilikuwaga noma sana.. Unaona kabisa wengine chenga tu ila wanavyong'ang'ana sasa hahaha
 
Teh teh teh mtajuaje mi nina kifurushi cha premium.. Kuna uzi uliletwaga humu wa DStv ilikuwaga noma sana.. Unaona kabisa wengine chenga tu ila wanavyong'ang'ana sasa hahaha

Hahahahaaa, mbona hukunishtuaga nikacheke?
Watu wengine wanapenda sifa za kijinga sana.
 
Back
Top Bottom