Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Una jua sisi tupo jamvini kila siku tuna bishana but ukweli ni kua hizi team diamond na team kiba zina nguvu sana huku nje. mpaka wadau wakubwa wa muziki wana pata hofu ya kuto ikwaza team yoyote kati ya hizi.


wanajua watapondwa mawe hhhhhaaaaaaaaaaaaaa
 
Una jua sisi tupo jamvini kila siku tuna bishana but ukweli ni kua hizi team diamond na team kiba zina nguvu sana huku nje. mpaka wadau wakubwa wa muziki wana pata hofu ya kuto ikwaza team yoyote kati ya hizi.

Ua correct aisee hizi timu zina influence kubwa hadi huku mitaani kwenye magroup ya Whatsap na mitandaoni. Naona wana balance equation hapo.
 
Naungana na ww ktk maumivu yako...nimeumia Christian Bella kukosa tuzo...wimbo wake wa mama ulivuma mno na ni mzuri...

Live performance anaiwezeaa

ULIPIGA KURAA? Demokrasia ina faida na HAsara,ndio mana kilwa kusini walimchagua mbunge ambae ni MTU wa kawaida,nakumuacha tajiri Madabida,ambae ni tajiri na MAARUFU,sasa hivi mwenyekiti CCM DSM
 
Fid q anajua, ila joh makin alipiga kazi, anajituma sana, ngosha ndio baba wa hip hop kibongo bongo bt kabweteka sana, hapigi internationally...
 
Huyo Joh Makini ni kwasababu ya 2.
1.Meneja wa TBL ni Mchagga,2.Arusha inaonekana wana kunywa sana Bia.3.ni Rafiki yake hakuna ambae hajui Hilo,Huyo JOH Makini jamani??????zero kabisa!
Anyway wao ndo wameandaa na wana influence nani ashinde Kaka!
Ndo Maana tuzo zimepoa sanaaaa

😕😕😕malimao yanakuhusu mkuu
 
Wanaosema Fid kaonewa
Fid katoa nyimbo gani zilizohit?
Hiyo bongo hiphop video kama katengenezea bafuni.
Joh kafanya kazi kubwa sana Fid tatizo anajiona anajua ila mashabiki mwisho wa siku ndio wasikilizaji anatakiwa atunge kile ambacho sisi tukisikiliza tutampa yeye sapoti. Mtu hata show sijawahi sikia anatangaza sasa kwa nini ashinde hii tuzo


waambie chalii ya arusha imepiga kazi arifuu...

Game tait....
 
Back
Top Bottom