Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Kili katika ubora wake, hivi hawaoni aibu wakijilonganisha na MTV hiv, au CHANNEL O...

Naanza kuamin maneno ya le mutuz
 
Oyoooooo alafu wajee watu na vitambi vyao kama mimba za ngedere waseme #king kabebwaa nawanyea usoni,,,,, waiter waiterrrrrrrrrrrr ongezaaa kama tulivyoo uwiiiiiiii,,,,,,bby una bahati leo haupo getoo ungekula bao nne safiiiiiiii za afyaaa na kunizalia juu maaaaaaaaa..........eeeee

Hahahahaaa, wifi ana bahati leooo!..
 
Hapa mnaziponda baadaye mkichukua mnaanza kutambia, tatzo nyie wenzetu hamna mioyo, mbona sisi tuko poa tu
 
ni ipi labda??

Ngoma zke ngumu sana pia anacopy kwenye vitabu. Joh anaimba vitu simple ndo mana akitoa ngoma anaimba na mashabiki wke kwenye show rahs kuishika. cheki kama hapa wanavyokimbiza kwa stage
 
Jamani G Nako kapendezaaaaaa! Hongera kwao wote ila mimi G Nako kanikuna zaidi.
 
Back
Top Bottom