Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Hawa wanaoshikilia kusema mlipiga kura wana maana gani kwani tuzo mbili kapataje kama hakuna aliepiga kura au watu walivote category mbili tu hii nchi balaa alieturoga kafia wapi sijui mana nahis Hata alipozikwa hapajulikan tukaombe msamaha