Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Le Mutuz kasema haya

1434288905195.jpg
 
Hiyo ni page fake ya Kili, endeleeni kulia lia huku kwetu sherehe.

Hahaha unatamani iwe uongo eh! anyway yamepita hayo kikubwa ukweli umejulikana hapa ndio pa kuanzia kuujenga muziki wetu.
 
Haya msisahau kuwapigia kura wanaopeperusha nchi yetu kimataifa


Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

MAMA 2015


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

Nishampigia Davido mkuu
 
Hey waiter! niongezee nyengine ya baridi na chair fire nusu usisahau na pilipili nyingi na kachumbari bila kusahau mchicha kabla sijaanza kupitia hii sred inaonesha pana habari njema hapa. Mwaka huu rangi zote zinaanza kuonekana.
 
Vilaza nyie kwahiyo ht tunzo za soka huwa wanaangalia uwezo uwanjani au mbwembwe za nje ya uwanja?
Kalaleni ...hamna point
 
matumbo hata wewe?
Ivi cheap fake accounts huwezi kuzijua kabisa?
Its a shame mkuu.Asiekubali kushindwa si mshindani
 
Last edited by a moderator:
Jamani hiyo sio page ya kilimanjaro musiv awards.
Wala hiyo sio official au proffessional addressing ya hoja muwe mnashughulisha na ubongo
Mihemko isiwatawale kiasi iko.
 
Hey waiter! niongezee nyengine ya baridi na chair fire nusu usisahau na pilipili nyingi na kachumbari bila kusahau mchicha kabla sijaanza kupitia hii sred inaonesha pana habari njema hapa. Mwaka huu rangi zote zinaanza kuonekana.

Hahahahaaa, ulikua wapi mbona jana sijakuona?
 
matumbo hata wewe?
Ivi cheap fake accounts huwezi kuzijua kabisa?
Its a shame mkuu.Asiekubali kushindwa si mshindani
ebu itafute hii page fb
Kilimanjaro Music Awards/Tour 2015
alafu hurudi kusema ni maneno ya nani haya yangu au ya kili..
 
Back
Top Bottom