Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

Hamna akili nyie wajinga kweli,hiyo page ni verified?acheni ujuha mnatia aibu,kili siyo wajinga kama nyie ,hata kama kuna sarakasi hawawezi fanya ujinga kama huo hapo kuandika facebook
 
Jamani hiyo ni "FAKE PAGE"...na hiyo habari inaenea kwa kasi sana mitandaoni,Ok!..nahii inaonyesha ni jinsi gani " team diamond " hawakubali ukweli hadi kutengeneza account fake,tujikumbushe ya wahenga "ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI"
View attachment 260158View attachment 260158
Na hiyo apo juu ndo official page ya KTMA2015... Dah!..kweli binadamu hatareee maana hata logo za TBL hazifanani kabisa hapo,viva kingkiba!!!!!

Mbona Juzi au jana haukuiita feki?

Kuna ya kinywaji na mengineyo wanayosapoti ki usaniiii

1434297060121.jpg

Mwisho wa siku sherekeheni basi muache wasanii wengine nao wapumue
 
Kwani meneja wa TBL ndio aliyepiga kura au ndiye mwenye mamlaka ya kutuchagulia msanii bora? Stupddd

Mtalia sana mwaka huu.

Your vote only count for the 40%, the 60% came from the judges. Do you get it now? In short it was not just your vote that was going to make a nominee win.
 
Hamna akili nyie wajinga kweli,hiyo page ni verified?acheni ujuha mnatia aibu,kili siyo wajinga kama nyie ,hata kama kuna sarakasi hawawezi fanya ujinga kama huo hapo kuandika facebook

Nawashangaa wanavyojitoa fahamu.
 
Yani watanzania bwana..Mimi pamoja kuna tunzo zijakubaliana nayo lakini ni aibu kufikiri KILL wanaweza wakatoa tamko la namna hiyo tena kwenye mitandao!

Uhitaji akili nyingi kujua hiyo ni Account fake kabisa na kimsingi Kill hawawezi kutoa tamko la namna hiyo na kimsingi wao ni wadhamini wa tunzo tuu kama wakutoa tamko hilo wangekuwa ni Basata na wala si kwenye mitandao!

Hivi jamani kwa ikili ndogo tuu mnafikiri taasisi na kampuni kubwa kama hiyo itoe tamko kama hilo kwenye mtandoa?
Ruta kusema kweli kuna baadhi ya watu ujinga umezidi,yaani le mutuz ni boooonge la boya,yaani kilimanjaro na wasomi wote wale eti wajiharibie kuweka post kama ile?
 
Nawashangaa wanavyojitoa fahamu.
Yaani le mutuz ndo kadhihirisha u boya wake,aibuuuuu,kili kampuni kubwa ile imesheheni wasomi wenye experience na PR,wafanye upu mbavu kama ule?le tumboz kwa akili yake kabisa anakimbilia insta kujisifu eti kili wametuma post kama ile,.aaaaaggggggggrrr
 
Hahahahaaa! Mkuu utauwa watu ujue?
Mimi leo nimevote for davido,vanessa,sauti sol,na flavor pale kwenye category ya utumbuizaji,jana nimevote sana for diamond,ila leo niliposoma post za zari anatuponda watanzania tuache makelele kuwa wao wamezoea kimataifa zaidi,nikaapa i will never vote for Diamond again.kwanza wakipataga tuzo badala ya kufurahi na wao ni kuwaponda tu wengine live.
 
Sio wameiondoa post wewe matumbo,yani hawajawai na hawatokuja kupost utumbo kama huo aliotungwa na huyo lemutuz ambaye ameshagundua kwa sasa "team diamond" mnastress za tuzo hivyo anajua akituma kitu chochote cha kiba mtampa attention kubwa,hahaha!!!..pia ukisema "UNASHUKURU KWA KUGUNDUA MICHEZO MICHAFU PALE KTMA"... ni wazi unatuaminisha watanzania kwamba hata diamond alipata tuzo 7 mwaka Jana kupitia huo huo mchezo mchafu sio?.. Dah!..ukweli mchugu sana kwenu leo.
 
Mbona unareply kwa panic Sana, wew bila kutumia maneno ya kejeli huelewiki au.?

Tumia maneno ya kawaida nitakuelewa tuu.( shenz typ, kujamba) what for ?

Hujawazoea hao tu mkuu? Matusi ndio zao na hivi wamechanganyikiwa basi hatariiii.
 
Good question. They all know that Global Publishers na other magazeti ya udaku rarely write true stories. Most of what they write is a hear-say or poorly interpreted social media posts. But once what is written is against Diamond or even remotely portrays him in a negative way...bum it is then gospel truth. I just wish some people would be honest enough to just say why exactly they don't like Diamond.

are u tanzanian or a british ila diomond hakustahili hata hizo mbili ni huruma tu
 
Mm nashangaa sana kwani team ikichukuwa kombe la Tanzania bara na atakae chukuwa kombe la clabu bingwa bara Africa team ipi inaheshimika? Majibu mmnayo wenyewe.
 
Back
Top Bottom