SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sasa usichoelewa nini unabisha kuwa hatujawapigisha kwata maelfu ya askari polisi na kuandamana badala yetu kwa gharama ya serikali?Acha zako wewe!
πππ
Eti akili kubwa!
π€£"Haiwezekani watu wanatekwa raisi anasema ni drama, lazima tuandamane"
View attachment 3104117
π€£Hatukiogopi Kifo Mkuu Tunaogopa Kufa Kwa Ajili ya Wapumbavu Wengi Wasojielewa Wanataka nini. Anyway Police wametusaidia kutuwakilisha Ujumbe Umefika
Kwahiyo LENGO lenu limeshatimia?Sasa usichoelewa nini unabisha kuwa hatujawapigisha kwata maelfu ya askari polisi na kuandamana badala yetu kwa gharama ya serikali?
Yeriko Nyerere shabiki wa Putin atakushauri Nini ππIntelijensia ya Chadema imefeli @ Dar No ilibidi wawe separate maana wana Kanda zao mambo yangeenda ona Sasa wanafeli asb
Tokea alipotangaza maandamano hakutakiwa kufahamika alipo, kutangaza maandamano ni sawa na kutangaza vita na dola hasa wakati huu ambao tupo kwenye vuguvugu la kupotea na kuuliwa kwa wapinzani wenzao.Wapo nje ya nyumba yake tangu jana jioni
Pole pole wameanza kushtuka kuwa wanatumiwa na saccos ya mzee MboweKwa hali niliyoiona mtaani nikilinganisha na ule mkwara wa wa Tz mtandaoni imebidi nicheke tu, wabongo ni masnitch
Tayari we ni mbwa.Wakiandamana niite mbwa
True,Tokea alipotangaza maandamano hakutakiwa kufahamika alipo, kutangaza maandamano ni sawa na kutangaza vita na dola hasa wakati huu ambao tupo kwenye vuguvugu la kupotea na kuuliwa kwa wapinzani wenzao.
Hatujafikia kwenye demokrasia komavu kiasi cha kiongozi wa upinzani kuamkia nyumbani kwake kwenda kuongoza maandamano.
Shadow7
Lengo limetimia nakupitiliza.Kwahiyo LENGO lenu limeshatimia?
πππ
Gharama ya serikali?
ππππ
Unaamini serikali inawaza kuhusu gharama kwenye hili?
Kwa mawazo ya wafuasi wa aina yako, Mbowe ana kazi kubwa sana.
Jamaa wanawaiga wakenya, hapo ndipo wanapokosea.Sifahamu but Samia must go was very wrong π
πππLengo limetimia nakupitiliza.
Alikwenda kuhitimisha, asingekwenda si ndiyo mngesema kaingia mitini.πππ
Mbowe Magomeni alifuata nini kama lengo ilikuwa ni POLISI wawasaidie kuandamana?
MBWAWakiandamana niite mbwa