Pre GE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alikwenda kuhitimisha, asingekwenda si ndiyo mngesema kaingia mitini.
😂😂😂
Kwahiyo mlitaka kutuponza Watanzania, lengo lenu lilikuwa kutukutanisha na POLISI barabarani?

Kwahiyo siku nyingine tukisikia CHADEMA wamehitisha maandamano Watanzania tupuuzie, sio?
Maana lengo lenu sio raia wa kawaida waandamane, mnataka POLISI waandamane. Si ndio?
 
Leo kulipaswa kuwa na maandamano ya Chadema jijini Dar es Salaam.
Huko mtandaoni tunaona watu kadhaa wakikamatwa ila sijapenda kabisa UPENDELEO MKUBWA WANAOUFANYA POLISI.
-. Mwenyekiti Mbowe amekamatwa na kuingizwa kwenye V8 anapigwa AC
-. Mtoto wake Nicole naye amekamatwa, ameingizwa kwenye Land Cruiser anapigwa AC
-. Lakini wananchi wa kawaida wamekamatwa wamelazwa kifudifudi nyuma ya Defender za polisi wakipogwa na jua kali.

KAMA NI KUTUKAMATA WOTE TUNGEWEKWA KWENYE AC, SIO VIONGOZI WANAKULA AC WANANCHI WANAPIGWA JUA
Strategies mdau.
Impact ya kumlaza Mbowe kwenye pick up unaijua?
Unajua madhara yake kwa nchi na raia?
Kuna namna lazima tutofautiane tu.
 
Sisi masikin tunateseka nyie mnasema wanafanya biashara

Nauli zimepanda bei kila kitu bei juu samia hajui dollar haishiki Samia hajui huduma mbovu maofisin Samia hajui tumepoteza wapendwa wetu Samia hajui
 
Strategies mdau.
Impact ya kumlaza Mbowe kwenye pick up unaijua?
Unajua madhara yake kwa nchi na raia?
Kuna namna lazima tutofautiane tu.
Kwamba hata jela alitokwenda Mbowe ilikuwa na AC?

Tujifunze kuheshimu viongozi wetu Toka Kwa wadudu waitwao siafu,

Malkia wa siafu au mchwa hulindwa Kwa gharama yoyote ikibidi hata kufa,

Ni wapi mmeilinda nyumba ya Mbowe asikamatwa au kudhuriwa na polisi?
 
Strategies mdau.
Impact ya kumlaza Mbowe kwenye pick up unaijua?
Unajua madhara yake kwa nchi na raia?
Kuna namna lazima tutofautiane tu.
Hakuna madhara yoyote kwa nchi na raia huyo mchaga kulazwa kwenye difenda. Polisi wamekosea sana. Ila iwe fundisho kwa wajinga wote waliomkabidhi Mbowe akili.
 
Leo kulipaswa kuwa na maandamano ya Chadema jijini Dar es Salaam.
Huko mtandaoni tunaona watu kadhaa wakikamatwa ila sijapenda kabisa UPENDELEO MKUBWA WANAOUFANYA POLISI.
-. Mwenyekiti Mbowe amekamatwa na kuingizwa kwenye V8 anapigwa AC
-. Mtoto wake Nicole naye amekamatwa, ameingizwa kwenye Land Cruiser anapigwa AC
-. Lakini wananchi wa kawaida wamekamatwa wamelazwa kifudifudi nyuma ya Defender za polisi wakipogwa na jua kali.

KAMA NI KUTUKAMATA WOTE TUNGEWEKWA KWENYE AC, SIO VIONGOZI WANAKULA AC WANANCHI WANAPIGWA JUA
Tatizo nani? Mkamataji au muandamanaji?
 
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.

Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm. Au wangekaza/wangekataa kukubali maagizo toka juu.

Bado hakijatokea kizazi ambacho kipo tayari kupigwa, kufungwa, kufa juu ya masuala ya kisiasa.



Hakuna vijana wa kufatilia au kutaka kuhusika na masuala ya aina hiyo.
Vijana wako bize na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume, mapenzi, kukata mauno, matamasha, tamthilia na misambwanda


Narudia tena



Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Wewe ndo umesema sasa hata katika issues za kawaida wanakuwa na uoga. Angalia jinsi watu humu wanavotoa vitisho utasema watu wa maana. Na hii ina impact mpaka kwenye ngazi ya familia.
 
Leo kulipaswa kuwa na maandamano ya Chadema jijini Dar es Salaam.
Huko mtandaoni tunaona watu kadhaa wakikamatwa ila sijapenda kabisa UPENDELEO MKUBWA WANAOUFANYA POLISI.
-. Mwenyekiti Mbowe amekamatwa na kuingizwa kwenye V8 anapigwa AC
-. Mtoto wake Nicole naye amekamatwa, ameingizwa kwenye Land Cruiser anapigwa AC
-. Lakini wananchi wa kawaida wamekamatwa wamelazwa kifudifudi nyuma ya Defender za polisi wakipogwa na jua kali.

KAMA NI KUTUKAMATA WOTE TUNGEWEKWA KWENYE AC, SIO VIONGOZI WANAKULA AC WANANCHI WANAPIGWA JUA
Ila hii Manchester United ya mwaka huu sijui kama itapona kushuka daraja. Mechi 5 imedondosha point 8 na bado hajakutana na wale top 5 kila mwaka. Kimahesabu imeshashuka daraja (5X3)x2=30(Home and Away)+8(zilizokwisha dondoka)=38. Lengo la hizi hesabu ni kuwatahadharisha mashabiki wote wa Man U mjiandae kisaikolojia
 
Back
Top Bottom