Yaliyojiri Kwenye ZariAllWhiteParty Huko Uganda

Traveller X

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2017
Posts
271
Reaction score
305
Jana usiku ndio ilikua siku ya zari all white party ambayo alifanyia uganda, nimekuletea video kuanzia anaingi ukumbini...
 
Ngoja niketi hapa, niangalie upaend wa mafanikio ya wanawake wabunifu.
 
They expected diamond to turn but no where to be seen hasira anazimalizia Snapchat. Haijamplipa
 
They expected diamond to turn but no where to be seen hasira anazimalizia Snapchat. Haijamplipa
Maisha ya ushindani ni mbaya sana. Afanye party kkwasabb she feels like and not because she wants to win someone's attention . Ataishia kujisuprise milele
 
Reactions: BAK
Maisha ya ushindani ni mbaya sana. Afanye party kkwasabb she feels like and not because she wants to win someone's attention . Ataishia kujisuprise milele
Also a brief background about those parties. Mwaka juzi zari alifanya white party wabongo wakaingia akasema hatofanya tena Ug kwamba hapa kapata support ya kutosha kuliko kwao. Mpaka akasema kuna msemo wa wa Mtume hakubaliwi kawo.

So what happened in July Don zella kutoka Marekani katangaza kua atakua na party ya gal power kuwa support single mothers. Kilichotokea zari kasikia, kwavile wana longtime beef akaikanso ya Kenya maana alikua ameamua mwaka huu aifanyie Nairobi akaja nae katangaza White party on the same date of Don zella wakati alikua ameshasema hawezi tena fanyia Ug. Ndo Don nae kamua kumwaga ugali kumwalika Misa with lot's of money. Na vile ilikua business Misa asingeweza kukata.
That's what we call nitumia beef kutengenze pesa sio hawa wabongo kutupiana vijembe kwenye mtandao.

Ila hapa nampongeza Misa maana katumia mwanya huu wa uke wenzaa kujipatia mkwanja mrefu. Sio kama akina Wolper, Kajala Wema and the like
 
Kutofanya party bongo nampa hongera ni nani kwa vyuma hivi anaweza kutoa laki kiingilio yule ni mfanyabiashara kasoma Alama za nyakati kaona bora kwao kuliko hapa TZ zari ile ni party yake miaka yote hata iweje yeye bado imara na beef ni kawaida Mara ngapi tumeona concert nyingi hapa Tz zinafanywa tarehe sawa kama jaydee na FA au hii ya juzi EFM na Fiesta ya clouds kwahiyo hapa hakuna sijui zari mshari ni sawa na kusema fiesta inamuiga mtu tarehe ya tamasha wakati kila mwaka ipo
Big up Zari
Diamond kutokutokea usikute walifanya kusudi tu ile ilikuwa kuzoa attention ya watu wa UG
 
Zari the undifitted her back never touch the earth[emoji123]
 
Mkuu mkwanja mrefu sh ngapi?
 
Magu kasema ukiona vyuma vimekaza weka grease. Kweli Mr. Presidaa ni comedian.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…