Yaliyojiri Ligi ya Mabingwa Africa : Nkana FC yaichapa Simba SC kwa magoli 2-1

Chimba tuliwaambia chimba kidomodomo kitawaponza !!! ona sasa nkana wanajitwangia tuu watakavyo !!! vuchezaji vyenu vinarukaruka tuu na kucheza slowmotion!!! hawana uwezo wa kuona wenzao wanavyotoka baruti na kucheza long pass kwa kuwa mmekariri short pass sasa ndio zinaishia miguuni mwa adui, mlidhani hawa ni Mbabane??? sasa imbombo ngafu mnaomba mpira umalizike
 
Simba wafanye sub nyingine, wamwingize Dilunga ili kuongeza spidi ya Simba.

Vv
 
Mbombo ngafu kweli
 
Simba wamebanwa Sana hi gemu timi haitembei
 
Ngumi hapa zinapigwa daktari wa Nkana na mkude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…