Yaliyojiri Ligi ya Mabingwa Africa : Nkana FC yaichapa Simba SC kwa magoli 2-1

Najua mkuu Lakini huyu poyoyo ameanza matusi. Wengine kama yeye wakionyeshwa ustaarabu hawaelewi.
Mkuu achana na huyo pimbi, mshauri aisaidie timu yake kupata hela ya chakula cha wachezaji kabla ya game yao ya leo manake mpaka muda huu wachezaji wa Yanga pamoja na bench lao la ufundi hawana uhakika wa chakula cha mchana kabla ya game yao na ruvu shooting.
 
Wanaomjua mnyama Taifani piga kelele wanakufa waarabu tuwashindwe watu wa mbeya ,taifani aikatoksi myama 3-1
 
Simba ukiwachanganya kidogo tu kisaikolojia huwa wanatoka kabisa nje ya line. Jamaa wanacheza na akili za Tundu FC ikabidi Chama na yeye aige kwa sababu ashaambukizwa ushirikina na mbumbumbu FC
 

Attachments

nipo my dear hata sijui nakosea wap tunapishana mnoo yaani tunasepa lini mkoa@shunie
Nimekumiss mnoo mkoa kuanzia tarehe 20 mpenzi nimekuita hapa unitolee hiki kitendawili ujue shadeeya anafanana na ndg yetu hajar sana anasema sio yeye ni mapacha watakuwa
Ooh. Akija atasema maana hata hilo jina sijawahi kuliona humu toka nije.

Haya tuendelee kuzungumzia mpira wetu. [emoji3][emoji3]
 
Historia haichezi mpira mkuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…